Thursday, January 12, 2017

Fahamu Kuwa Hata Wewe Ni Dereva Mzuri Tu.


Image result for driver clipartNajua unaweza kuwa umeshangazwa kidogo na kichwa cha makala yetu ya leo, lakini usiogope wala kushangaa sana na kuaanza tayari kusema haiwezekani bwana mimi sio dereva. Punguza presha ndugun msomaji na uwe mpole maana taratibu utanielewa. Nasema wewe ni dereva ndio wewe unaesoma makala hii kwa sasa wewe ni dereva, acha kubisha uliza dereva wa nini?.

Tuesday, June 28, 2016

Mambo Matano (5)Muhimu Ya Kukusaidia Katika Kukuza Biashara Yako.


Habari ya wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema katika kupambana ili kuboresha maisha yako. Karibu tujifunze kwa pamoja mambo matano ya kutusaidia katika kukuza biashara zetu.

Monday, May 2, 2016

Njia Za Kukufanya Ubaki Mwenye Hamasa Muda Wote.

Habari za wakati huu ndugu msomaji wa Makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika kuhakikisha kuwa unapambana na hatimae kujiletea matokeo bora ambayo ndiyo umekuwa ukiyapigania kila siku, kila wakati na kila dakika. Nami nikusihi pambana bila kuchoka hata siku maana maisha ni mapambano na wale wanaovumilia ndio hupata mema.

Friday, April 15, 2016

Zifahamu Sumu Kumi(10) Zinazowatesa Vijana Kwa Sasa.

Habari za wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri. Mimi pia naendelea vizuri katika harakati za kupambana kimaisha. Leo nakuletea mambo kumi ambayo kwangu nimeyaita sumu ambazo zinatukumba vijana wengi sana kwa sasa.

Thursday, April 14, 2016

Sababu Za Kwanini Kila Siku Wewe Hauna Muda.

Habari za wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema katika kubambana ili kuhakikisha kuwa unajiboresha zaidi na zaidi na baadae unaweza kukamilisha yale ambayo umekwisha kujiwekea kama malengo katika maisha yako. Nami nikusihi kuwa endelea kupambana pasipo kuchoka kwani harakati na mapambano yanaendelea kila siku.