Najua unaweza kuwa umeshangazwa
kidogo na kichwa cha makala yetu ya leo, lakini usiogope wala kushangaa sana na
kuaanza tayari kusema haiwezekani bwana mimi sio dereva. Punguza presha ndugun
msomaji na uwe mpole maana taratibu utanielewa. Nasema wewe ni dereva ndio wewe
unaesoma makala hii kwa sasa wewe ni dereva, acha kubisha uliza dereva wa
nini?.
KONA YA MAARIFA
Usihangamie Kwa Kukosa Maarifa, Chota Maarifa Hapa Sasa .
Thursday, January 12, 2017
Fahamu Kuwa Hata Wewe Ni Dereva Mzuri Tu.
Tuesday, June 28, 2016
Mambo Matano (5)Muhimu Ya Kukusaidia Katika Kukuza Biashara Yako.
Habari ya wakati huu ndugu msomaji wa
makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema
katika kupambana ili kuboresha maisha yako. Karibu tujifunze kwa pamoja mambo
matano ya kutusaidia katika kukuza biashara zetu.
Monday, May 2, 2016
Njia Za Kukufanya Ubaki Mwenye Hamasa Muda Wote.
Habari za wakati huu ndugu msomaji wa Makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika kuhakikisha
kuwa unapambana na hatimae kujiletea matokeo bora ambayo ndiyo umekuwa ukiyapigania
kila siku, kila wakati na kila dakika. Nami nikusihi pambana bila kuchoka hata
siku maana maisha ni mapambano na wale wanaovumilia ndio hupata mema.
Friday, April 15, 2016
Zifahamu Sumu Kumi(10) Zinazowatesa Vijana Kwa Sasa.
Thursday, April 14, 2016
Sababu Za Kwanini Kila Siku Wewe Hauna Muda.
Habari za wakati huu ndugu msomaji wa
makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema
katika kubambana ili kuhakikisha kuwa unajiboresha zaidi na zaidi na baadae
unaweza kukamilisha yale ambayo umekwisha kujiwekea kama malengo katika maisha
yako. Nami nikusihi kuwa endelea kupambana pasipo kuchoka kwani harakati na
mapambano yanaendelea kila siku.
Subscribe to:
Posts (Atom)