tag:blogger.com,1999:blog-85085444303936834522024-03-13T13:53:02.754+03:00KONA YA MAARIFAUsihangamie Kwa Kukosa Maarifa, Chota Maarifa Hapa Sasa .mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.comBlogger73125tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-73893801458700550542017-01-12T06:00:00.000+03:002017-01-12T08:32:32.471+03:00Fahamu Kuwa Hata Wewe Ni Dereva Mzuri Tu.<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<a href="https://encrypted-tbn1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcRpUtOXrE7g_JXVcoZUSFjpwjxeVos2ENwua2y7ebZRlz85hYdD" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="Image result for driver clipart" border="0" src="https://encrypted-tbn1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcRpUtOXrE7g_JXVcoZUSFjpwjxeVos2ENwua2y7ebZRlz85hYdD" /></a><span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Najua unaweza kuwa umeshangazwa
kidogo na kichwa cha makala yetu ya leo, lakini usiogope wala kushangaa sana na
kuaanza tayari kusema haiwezekani bwana mimi sio dereva. Punguza presha ndugun
msomaji na uwe mpole maana taratibu utanielewa. Nasema wewe ni dereva ndio wewe
unaesoma makala hii kwa sasa wewe ni dereva, acha kubisha uliza dereva wa
nini?. </span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Kabla sijakujibu nataka nitoe maana ya dereva kwa uelewa wangu, dereva
ni mwongozaji wa chombo Fulani inaweza kuwa gari, meli, ndege lakini mwongozaji
huyu ambae anajulikana kama dereva huwa ni Yule anaeongoza magari tu hivyo
ndivyo ilivyozoeleka lakini ukweli ni kuwa dereva ni mwongozaji wa chombo cha
moto. Kazi kubwa ya mwongozaji huyu ni kukifanya chombo kisiende mlama na
hatimae kikaleta madhara. Mfano dereva wa gari huwa na kazi ya kuliongoza gari
ili kama kabeba abiria wafike salama na kama kabeba mizigo pia ifike salama.
Nadhani umenielewa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , serif; font-size: 14pt; line-height: 115%;">Nataka nikujibu sasa swali lako
kuwa kwanini</span><span style="font-family: "andalus" , serif; font-size: 14pt; line-height: 115%;"> </span><span style="font-family: "andalus" , serif; font-size: 14pt; line-height: 115%;">nimekuita dereva na ni
dereva wa nini. Wewe ni dereva mzuri na ni dereva mzuri wa maisha yako. Hapo
naona tumeanza kuelewana kwanini nasema wewe ni dereva mzuri wa maisha yako, ni
kwa kuwa hakuna anaekujua zaidi ya wewe unavyojijua. Achana na ile misemo kuwa
namfahamu Yule bwana au bibi fika, hiyo ni misemo ya watu ambao wakati mwingine
hawana maana yoyote wewe ndiye unaejifahamu, yaani unajijua uko vipi, ubora na
udhaifu wako unaujua wewe na sio kaka, dada, mama, baba, mke au mume. Nakuambia
leo sasa kuwa mke wako hawezi kukujua kuliko wewe unavyojijua, na wewe mke
mumeo hawezi kukujua kuliko unavyojijua wewe. Ndio maana nakuambia wewe ni
dereva mzuri sana wa maisha yako.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Sababu iliyonisukuma kuweza
kuandika makala hii ni kutokana na upotoshaji mkubwa sana uliopo miongoni mwa
watu haswa sisi vijana maana mimi ni mtu ambae nimekuwa nikiandika sana kuhusu
vijana, kuwa tumekuwa na tabia moja ya kuhisi kuwa kuna mtu tunamsubiri aje
atuongozee maisha yetu. Yaani sisi tunataka kuwa abiria wa maisha yetu. Yaani
tunataka kila kitu tufanyiwe, kila kitu tuletewe kama vile hatujiwezi sasa
jambo hili huwa ni hatari sana. Kumbuka dereva ni mwendeshaji wa chombo cha
moto hivyo kama ni gari tutasema ni dereva wa gari. Sasa nikisema wewe ni
dereva hata kama unaesoma hii makala ni dereva wa gari, bodaboda, na vingine
jua udereva wa kwanza ni wa kuendesha maisha yako. Watu wengi wamekuwa sio
madereva wa maisha yao na hapa utawakuta aidha wanaendesha maisha ya wenzao au
wanakuwa abiria wa maisha yao. Yani wanasubiri kuendeshwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"> Nachokutaka leo jenga misingi ya maisha yako,
yasimamie maisha yako mwenyewe maana hakuna mtu mwenye kuweza kuyasimamia
maisha yako wakati nae anayo ya kwake. Nataka uwe na utawala wa maisha yako na
sio maisha yako yatawaliwe na mtu fulani au watu fulani, kumbuka nishakuonya
toka mwanzao kuwa baba, mama, shangazi, mjomba sijui mume hawezi kuwa dereva wa
maisha yako. Chukua hatua mwanzoni mwa mwaka huu uanze kujipanga na kusimamia
na kuendesha maisha yako. Huo ndio udereva nao uzungumzia hapa. Usijidanganye
hata siku kutaka kuwa abiria wa maisha yako kwani kwa kufanya hivyo huwezi
kufanikiwa hata siku moja. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Kila kheri katika kuuanza
udereva wako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"> </span><span style="font-family: "andalus" , serif; font-size: 14pt; line-height: 115%;">Rafiki
Yako</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Baraka
Maganga<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="text-align: justify;">
<a href="mailto:Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "andalus" , "serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">0754612413<o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-49263205659280867092016-06-28T08:29:00.002+03:002016-09-29T11:49:26.525+03:00Mambo Matano (5)Muhimu Ya Kukusaidia Katika Kukuza Biashara Yako.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-TUHyizgV8Vk/V-wn2oAM6KI/AAAAAAAACKA/vdQ9sTVfS2kIiMWcssOkMUVh5XhbIElswCLcB/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="124" src="https://1.bp.blogspot.com/-TUHyizgV8Vk/V-wn2oAM6KI/AAAAAAAACKA/vdQ9sTVfS2kIiMWcssOkMUVh5XhbIElswCLcB/s1600/download.jpg" width="200" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US">Habari ya wakati huu ndugu msomaji wa
makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema
katika kupambana ili kuboresha maisha yako. Karibu tujifunze kwa pamoja mambo
matano ya kutusaidia katika kukuza biashara zetu.</span><br />
<a name='more'></a><br />
<span lang="EN-US"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: left;">
</div>
<b style="text-indent: -0.25in;"><span lang="EN-US">Ubora wa huduma yako,</span></b><span lang="EN-US" style="text-indent: -0.25in;"> hapa tunahusisha
kiwango cha utoaji wa huduma yako kama ni katika mgahawa mfano tunazingatia
vitu kama vile usafi wa mahali husika na mwonekano kwa ujumla,ikiwa ni pamoja
na mpangilio wa vitu. Kama ni duka jambo la kuzingatia ni mpangilio wa bidhaa
zako zimekaaje kaaje, kama ni baa je mwonekano ukoje na mpangilio wa viti na
namna ya kukaa ukoje, vile vile swala la usalama lazima lizingatiwe hapo.
Maswala kama vile ukalimu kwa wateja, mwonekano wa wahudumu au wafanyakazi kama
utakuwa nao ni muhimu sana na yote haya yanakuwa katika kipengele cha ubora wa
huduma yako. Hivyo hakikisha unazingatia swala hili.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span lang="EN-US">2.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal;">
</span></span><!--[endif]--><b><span lang="EN-US">Ubora wa bidhaa zako,</span></b><span lang="EN-US"> hapa tunaangalia
licha ya kuwa na huduma nzuri je? Kile unachouza au kutoa kama huduma kwa
wateja wako kina ubora gani kwa wateja wako?. Ni muhimu sana kuuza bidhaa zenye
ubora kama unataka kuwa mfanyabiashara mkubwa na mwenye kuheshimika na kupendwa
na watu. Epuka uuzaji wa bidhaa feki au zilizokwisha muda wake maana hili
halitakusaidia daima bali siku ikigundulika ndio kutakuwa kufirisika kwako kwa
moja kwa moja na kumbuka muda mwingine unaweza kusababisha madhara makubwa kwa
watumiaji, mfano kwa wale wauzaji wa bidhaa ambazo ni chakula au zinatumika
moja kwa moja kwa binadamu kama chakula au madawa zaweza kusababisha madhara au
hata kifo/vifo hivyo kwa wewe muuzaji zaweza kukusababishia hata kifungo cha
kudumu jera.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span lang="EN-US">3.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal;">
</span></span><!--[endif]--><b><span lang="EN-US">Matumizi ya lugha,</span></b><span lang="EN-US"> je ni lugha gani
unatumia kwa wateja wako?, nakusihi jifunze lugha ya biashara usiwe mtu wa
kuongea na wateja kwa kuwafokea au ni kama unawalazimisha badala yake ongea na
mteja ni kama unamnyenyekea vile au kumbembeleza. Kuwa na lugha ya maelewano na
wateja hii itakusaidia kwa kiasi kikubwa sana. Jifunze kumsikiliza mteja hata
pale unapohisi kakukosea au kakudharau wewe jifanye ni kama huelewi hivi swala
tu usipoteze wateja kwa jambo dogo ambalo ungeweza kulizuia kwa kukaa kimya tu.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span lang="EN-US">4.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal;">
</span></span><!--[endif]--><b><span lang="EN-US">Ogopa kukosa chenji</span></b><span lang="EN-US">, wafanyabiashara
wengi sana sasa wamekuwa na mtindo ambao binafsi nauita ni utaratibu mbovu
sana, nao ni ule wa chenji utaijia baadae au muda mwingine anakuambia chenji
sina. Naomba niseme hii tabia inakera sana unakuta mtu ni dereva bodaboda
kakubeba saa sita za usiku au saa kumi na moja alfajiri unamlipa labda
unampatia shilingi elfu kumi anakuambia hana chenji, ukimwambia tunafanyaje
unasikia niachie ila yeye ukimwambia sikulipi utasikia aa mafuta gharama sijui
hesabu ya bosi maneno mengi sana. Ngoja nikuambie kitu wakati mwingine jifunze
kutafuta chenji kabla hujafungua au kuanza biashara yako kama uko karibu na
benki nenda hata benki ukatafute chenji hii itakusaidia maana wateja hawapendi mfanyabiashara
mbabaishaji. Pia hii itakusaidia katika ushindani maana ambae atakosa chenji
siku hiyo kama mteja akikukariri hawezi rudi tena siku nyingine.Wewe mwenye
duka acha maswala ya kusema chenji baadae sijui kesho kama mtu anamatumizi
mengine?</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span lang="EN-US">5.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal;">
</span></span><!--[endif]--><b><span lang="EN-US">Usikopeshe ili kuonekana mwema,</span></b><span lang="EN-US"> hii
itakusaidia kulinda mtaji wako maana kuna mtu au watu unaweza kuwakopesha
bidhaa za pesa nyingi kiasi kwamba inafika wakati sasa hauwezi hata kuongeza
bidhaa katika biashara yako hii inakuwa hatari, badala yake kuwa na mipaka ya
kukopesha na ili kukusaidia kopesha faida tu ambayo hata ikichelewa kurudi
mtaji utakuwepo wa kununua bidhaa za kiwango kile kile. Hii itakusaidia kulinda
mtaji wako. Hivyo kamwe usikopeshe ili kuonekana mwema machoni pa watu au ili
uonekane mfanyabiashara mwema wakati inakuumiza maana biashara yako hapo
haiwezi kuendelea.<a href="https://www.blogger.com/null" name="_GoBack"></a></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<b><i><span lang="EN-US">Nakutakia kila la kheri
katika kuboresha biashara yako au kuanzisha biashara yako.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span lang="EN-US">Kama bado hujajipatie
kitabu cha <b>safari ya kuelekea mafanikio </b>basi
hakikisha hukikosi. Namna ya kukipata tuma meseji yenye neno kitabu kwenda
namba <b>0754612413</b> kwa njia ya <b>telegram,</b> au <b>whatsapp</b>(hakikisha whatsapp unayotumia ni new version inayosupport
kutuma na kupokea document kama pdf n.k kama sio ingia play store ili kuiupdate)
au pia kwa njia ya email ambayo ni <a href="mailto:Bmaganga22@gmail.com"><b>Bmaganga22@gmail.com</b></a><b>.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<b><span lang="EN-US">Rafiki yako,<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<b><span lang="EN-US">Baraka Maganga<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<b><span lang="EN-US">Mawasiliano: 0754612413 au 0652612410. Au barua
pepe-Bmaganga22@gmail.com.</span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-21770100287621694992016-05-02T09:04:00.001+03:002016-09-29T11:45:28.344+03:00Njia Za Kukufanya Ubaki Mwenye Hamasa Muda Wote.<div class="MsoNormal">
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-TT7CW3ARxxI/VybttGnYv8I/AAAAAAAAB-g/HGz73smXoDAdOqprTUlqIwcfbIWSsVoYACLcB/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="178" src="https://4.bp.blogspot.com/-TT7CW3ARxxI/VybttGnYv8I/AAAAAAAAB-g/HGz73smXoDAdOqprTUlqIwcfbIWSsVoYACLcB/s200/download.jpg" width="200" /></a><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Habari za wakati huu ndugu msomaji wa Makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika kuhakikisha
kuwa unapambana na hatimae kujiletea matokeo bora ambayo ndiyo umekuwa ukiyapigania
kila siku, kila wakati na kila dakika. Nami nikusihi pambana bila kuchoka hata
siku maana maisha ni mapambano na wale wanaovumilia ndio hupata mema.</span><br />
<a name='more'></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Wakati ukiwa unapambana nataka nikusisitize na
nikuelekeze juu ya jambo moja nalo ni jambo ambalo limekuwa likitukumba na
kutusumbua sana tulio wengi hapa duniani. Jambo lenyewe ni kuwa na hamasa ya
muda mfupi, tumekuwa tukikumbwa na hali hii ya kuwa na hamasa ya muda mfupi.
Yaani ni watu ambao tumekuwa tukihamasika kwa muda mchache alafu baadae tunajikuta
tumerudi kule kule tulikotoka mwanzo yaani ile hamasa haipo tena. Pengine jambo
hili limekuwa likitufanya tushindwe kufanikiwa kwa muda mrefu na laweza kuwa
likisababishwa na mambo kadha wa kadha.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Ni mara ngapi umekuwa ukitamani sana kufanya jambo fulani
baada ya kutoka katika semina fulani, baada ya kusoma kitabu fulani au baada ya
kusikiliza historia ya mtu fulani mwenye mafanikio, au pengine ni mara ngapi
umekuwa ukipata hamasa baada ya kusikiliza mahubiri au mafunzo ya dini lakini
baada ya muda mfupi unakuta hamasa ile imetoweka kama unakumbwa na tatizo hilo
basi karibu nikupe njia nne za kukufanya ubaki na hamasa muda wote.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">1.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Jifunze kitu kipya kila siku,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">
njia ya kwanza ya kukufanya ubaki na hamsa kila siku, kila wakati na kila
dakika ni kwa wewe kuhakikisha kuwa kila siku unajifunza kitu kipya. Hakikisha
toka unaanza siku mpaka umeimaliza umejifunza kitu fulani, iwe katika biashara,
mapishi, kilimo, ufugaji n.k swala wewe hakikisha umejifunza kitu ambacho
mwisho wa siku kitakufanya uweze kutimiza ndoto zako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">2.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Fanyia kazi yale unayojifunza</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">,
njia ya pili ya kukufanya ubaki kuwa na hamasa ni kuhakikisha kuwa unayafanyia
kazi yale unayojifunza maana yale mambo kwa namna moja au nyingine ndiyo
yaletayo hamsa kwako hivyo basi hakikisha unayafanyia kazi. Wengi wetu tumekuwa
tukikabiliwa na hali ya kuwa na hamasa ya muda mfupi kwa sababu hatutaki
kuyafanyia kazi yale ambayo tumejifunza. Hakikisha unafanyia kazi yale
uliyojifunza achana na habari za nitaanza kesho.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">3.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Epuka visingizio,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">
visingizio ni njia ambayo watu wengi sana huwa tunaitumia kama sababu za
kutufanya tusiweze kufanikisha jambo fulani. Naomba nikionye kuwa epuka
visingizio maana havina msaada wowote kwako. Kama unataka kubaki na hamasa muda
wote epuka zile kauli za sijui nina umri mkubwa au mdogo, nitafanya kesho,
sijasoma, mimi ni mtoto wa kijijini/town n.k. hakikisha unaviepuka kwa kiasi
kikubwa ili ubakie na hamasa yako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">4.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kuwa
mvumilivu, usiwe mtu wa kutaka mambo yafanyike hapo hapo na yatokee hapo hapo,
bali jua kuwa utokeaji wa mambo huwa unatofautiana kwa kiasi kikubwa sana.
Yaani kuna mambo yanahitaji muda mrefu ili yaweze kutokea na kuna mambo
yanhitaji muda mfupi ili yaweze kutokea. Sasa msisistizo wangu upo katika yale
mambo ambayo yanahitaji muda ili kutokea maana haya ndio huondoa hamasa, hivyo
basi kwa yale mambo ambayo yanahitaji muda ili kutokea hakikisha unakuwa
mvumilivu. Hiindio njia pekee itakayokufanya ubakie na hamasa katika mambo ya
aina hiyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Rafiki yako<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Baraka Maganga<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano: 0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Barua pepe: </span><a href="mailto:Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">JE? Unataka kujifunza Zaidi na Zaidi ili
kuwa bora katika maisha yako? Basi hakikisha haukosi <b>kitabu</b> cha <b><i>SAFARI YA KUELEKEA MAFANIKIO</i></b>. Hiki
ni kitabu ambacho kinapatikana bure kabisa yaani bila gharama yoyote ile. <b><i>JINSI
YA KUKIPATA,</i></b> tuma ujumbe wenye neno kitabu katika <b><i>whatsapp</i></b> katika moja ya
namba hizo hapo juu. Au tuma ujumbe katika <b>TELEGRAM</b>
kwenda namba <b>0754612413.</b> Au tuma
barua pepe(email) yenye jina <b>kitabu</b>
kwenda email niliyoionyesha hapo juu, kisha utatumiwa kitabu bure kabisa.<o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-20229158008300194992016-04-15T18:50:00.003+03:002016-09-28T23:39:59.046+03:00Zifahamu Sumu Kumi(10) Zinazowatesa Vijana Kwa Sasa.<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-dmiuB5XweNE/VxENjKRsIAI/AAAAAAAAB90/gy5rNEGcmssznwxUbaiF4SWgpAl_UDdBgCLcB/s1600/download.png" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="107" src="https://3.bp.blogspot.com/-dmiuB5XweNE/VxENjKRsIAI/AAAAAAAAB90/gy5rNEGcmssznwxUbaiF4SWgpAl_UDdBgCLcB/s200/download.png" width="200" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt;">Habari za
wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu
mzima na unaendelea vizuri. Mimi pia naendelea vizuri katika harakati za
kupambana kimaisha. Leo nakuletea mambo kumi ambayo kwangu nimeyaita sumu
ambazo zinatukumba vijana wengi sana kwa sasa.</span><br />
<a name='more'></a></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">1. </span><b style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kupenda starehe
kuliko kazi,</b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">hili ni tatizo ambalo limekuwa likitukumba wengi sana kwa sasa.
Leo hii kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wengi sana ambao wanataka wao
wastarehe tu siku zote ambapo mambo haya hayawezekani. Yaani huwezi kuishi kwa
starehe siku zote, na kingine tulichosahau vijana ni kuwa starehe huja baada ya
kazi lakini sisi kazi hatutaki kufanya ila tunachotaka ni starehe tu. Kwanzia leo
acha hii tabia ya kupenda starehe kuliko kazi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">2. <b>Kupenda kupewa
kuliko kutoa,</b> unapokuwa unataka kupewa jiulize wewe umetoa nini. Maisha ni
kitu ambacho kina kanuni zake bhana, maisha sio kitu cha kukurupuka tu bali ni
kitu ambacho kinahitaji kujipanga sana. Hivyo kama unapenda kupewa kumbuka na
wewe kutoa. Usiwe mtu wa kutaka tu kupewa wakati wewe hutaki kutoa. Kuna mambo
mengi ndani ya kutoa hivyo anza leo kutoa na kupokea kutakuja baadae.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">3. <b>Kufikiri siku
zote wazazi watakuwepo,</b>huu ni mkondo wa mawazo ambao ni mbovu kuishi ni
kama wazazi watakuwepo siku zote ni kujidanganya sana. Jijengee uwezo wa kujitegemea
mwenyewe sio kuwategemea wazazi kila siku.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">4. <b>Kudhani kuna
njia za mkato,</b> wengi sana tumekuwa tukijidanganya kuwa maishani kuna njia
za mkato jambo ambalo ni kujidanganya sana, maishani hakuna njia ya mkato hivyo
acha kujidanganya kwanzia sasa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">5. <b>Tamaa ya mambo
tusiyoyaweza au tusiyo na uwezo nao kwa wakati husika</b>, vijana tumekuwa na
taama za mambo ambayo hayana msingi wala umuhimu mkubwa sana maishani mwetu. Jifunze
leo kufanya mambo ya maana. Pia jifunze kuepuka tamaa ya mambo usiyoyaweza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">6. <b>Kuto kuwa na
makundi sahihi,</b> vijana wengi sana tumekuwa hatuna makundi sahihi, yaani
makundi tuliyonayo sio ya kutujenga bali ni ya kurudisha nyuma zaidi na zaidi. Leo
hii utakuta kijana anataka kuwa labda mtu fulani lakini makundi aliyonayo
hayawezi kumfanya akafanikiwa. Nacho maanisha hapa ni marafiki ambao
hatuendani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">7. <b>Kuamini kuwa, kuwa
na masters PhD au degree ndo kuwa na pesa,</b> kuna wengi ambao tunaamini kuwa
maishani kuwa na elimu za juu ndio kufanikiwa. Yaani ndio kuwa na pesa na
mengineyo. Lakini maishani ukweli ni kuwa unauwezo wa kufanikiwa hata kama
haukusoma kabisa. Hivyo basi futa hiyo imani yako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">8. <b>Kuamini kuwa
kujifunza au kusoma kunaishia vyuoni basi</b>, vijana wengi sana tumekuwa
tukiamini kuwa pindi tumalizapo elimu zetu za darasani basi ndio mwisho wa
kujifunza. Huku ni kujidangaya na ndio maana tumekuwa hatufanikiwi. Hivyo kuanzia
leo achana na habari hizi bali wewe endelea kujifunza hata baada ya kumaliza
elimu yako ya darasani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">9. <b>Kudhani kuwa na
simu Kali ndio ufahari na utajiri,</b> kila mtu leo hii anapigania kuwa na simu
kali sijui iphone ngapi, sijui tecno gani n.k. huu ni ufahari kwa wale ambao
hawajisomi lakini sio kwako wewe unayeyataka mafanikio. Kuwa na simu ya gharama
ambayo haikusaidii kitu haina maana yoyote katika maisha yako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">10. <b>Ujuaji hata kwa
tusiyoyajua,</b> tabia ya kujikuta unajua kila kitu inaponza maana hata kwa
yale ambayo hujui wewe unajidai unajua, sasa hii wakati mwingine inakunyima
fursa ya kujifunza maana wewe unahisi kuwa unajua kila kitu utajifunzaje sasa. Hivyo
achana na tabia hii ambayo haifai.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Hizi ni
sumu ambazo nimekuwekea kazi ni kwako kuendelea nazo au kuachana nazo, kila
kheri.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mwandishi:
Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
:-barua </span><a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-36231340049743265392016-04-14T19:12:00.003+03:002016-09-29T11:51:43.725+03:00Sababu Za Kwanini Kila Siku Wewe Hauna Muda.<div class="MsoListParagraphCxSpFirst">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-e0RDsySJmkA/Vw_BTkE1QII/AAAAAAAAB9k/0X9dNLN3PUIPR3HLF9bdnUH69A8I-m0BACLcB/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="132" src="https://3.bp.blogspot.com/-e0RDsySJmkA/Vw_BTkE1QII/AAAAAAAAB9k/0X9dNLN3PUIPR3HLF9bdnUH69A8I-m0BACLcB/s200/download.jpg" width="200" /></a></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Habari za wakati huu ndugu msomaji wa
makala za mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema
katika kubambana ili kuhakikisha kuwa unajiboresha zaidi na zaidi na baadae
unaweza kukamilisha yale ambayo umekwisha kujiwekea kama malengo katika maisha
yako. Nami nikusihi kuwa endelea kupambana pasipo kuchoka kwani harakati na
mapambano yanaendelea kila siku.</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Wakati unaendelea kupambana leo kuna
jambo ambalo nataka kukushirikisha hapa, mambo yenyewe ni juu ya ile kauli
ambayo tumekuwa wengi wetu tukiitumia ama kwa kupenda kuiga au hata kwa kutumia
tu kwa sababu tumejizowesha kufanya hivyo. Kauli hii ni </span><b style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;"><i>ya kusema sina muda.</i></b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;"> Hebu
hapo hapo ulipo jiulize ni mara ngapi umekuwa ukijiambia kuwa sina muda pindi
unaposhirikishwa jambo fulani iwe biashara, iwe semina, iwe kusoma kitabu n.k</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Sasa kama unakumbwa na kauli hii basi
leo nipo hapa ili kukupa sababu na namna ya kufanya ili uweze kuondokana na
kauli hii maana imekuwa ikituferisha wengi wetu siku hadi siku.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-size: 12.0pt; line-height: 107%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;">1.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kukosa ratiba,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">ratiba ni mpangilio wako wa
namna utakavyoianza siku na kuimaliza siku yako. Kila mtu huianza ratiba yake kwa namna yake
ya kipekee na kila mtu huianza ratiba yake pindi tu anapoamka kutoka kitandani.
Ratiba huwa ni mpangilio wa mambo na shughuli ambazo utazitenda kuanzia unaanza
siku mpaka unaimaliza, na hii huwa inakwenda sambamba na malengo yako. Sasa
swali la kujiuliza ni kuwa wewe unaratiba?, kumbuka waswahili husema “mazoea
hujenga tabia” nami nakuambia ratiba hujenga mazoea na ni kitu muhimu sana
kwako wewe mwanamafanikio. Mfano nikuulize una muda maalumu wa kulala au huwa
unalala tu pale unapohisi kulala. Ni muhimu ukajiwekea ratiba, hii itakusaidia
wewe kupata muda wa ziada ambao huo unaweza kuutumia katika shughuli au mambo
mengine unayoshirikishwa na unasema hauna muda. Anza na ratiba rahisi sana leo
jiwekee muda maalumu wa kulala na muda maalumu wa kuamka alafu ndio zifuate
ratiba zingine. Fanya hivyo kwa muda wa wiki mbili kwa nidhamu ya hali ya juu
ndipo uanze kuongeza ratiba zingine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-size: 12.0pt; line-height: 107%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;">2.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Umeshindwa kutenga muda wa uzalishaji na
muda wa kupumzika, muda </span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">mwingine kutokana na kukosa ratiba
tumekuwa tukijikuta kuwa tunashindwa kutenga muda wa kuzalisha na muda wa
kupumzika. Hii ni hatari maana binadamu hutakiwa kupumzika maana yeye sio
mtambo ambao umesetiwa ili kufanya kazi kila muda, kila dakika, kila sekunde
hapana. Leo hii anza kwa kutenga muda wa kazi na muda wa kupumzika na katika
muda wa kupumziki ndipo unaweza kuweka mambo mengine au shughuli ambayo ni
rahisi ambayo haihitaji nguvu nyingi wala kutumia akili nyingi mfano mazoezi ya
mwili. Kumbuka muda wa kupumzika uwe mchache kuliko muda wa kufanya kazi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-size: 12.0pt; line-height: 107%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;">3.<span style="font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Haujafanya maamuzi</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">,
wakati mwingine shida sio kuwa hauna muda ila shida ni kuwa haujafanya maamuzi
ya kufanya kile unachoambiwa kufanya. Na kwa kuwa haujafanya maamuzi juu ya
lile yaani wewe ulishaipanga akili yako kuwa kwa kila jipya ntakalo ambiwa mimi
jibu langu liwe sina muda. Hii ni kukosa maamuzi na pia vile vile kukosa
maamuzi hutokana na sababu kuwa hauna maamuzi yako binafsi bali unaishi kwa
kufuata maamuzi ya wenzio tu jambo hili ni hatari sana. Sasa leo hii fanya
maamuzi mapya ya kutafuta muda kwa kila unaloshirikishwa leo hii utenge muda wa
kulifanya.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Ni jambo la ajabu leo hii kusema kuwa hauna muda wa
kufanya jambo fulani tena lenye tija katika maisha yako mfano kwenda kwenye
semina, kwenye mazoezi, kwenye makongamano ya kidini, kwenye mikutano ya
kijasiriamali, au hata kusoma kitabu. Lakini una muda wa kuangalia TV kuanzai asubuhi
hadi jioni. Au una muda wa kuingia na facebook na instgram kulike picha za
wenzio tu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: start;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;"><span style="font-family: "arial" , sans-serif;"> </span></span><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;">Mwandishi:
Baraka Maganga.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: start;">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;"><br /></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"> Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">
:-barua <a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</a><o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-21936938322195272242016-04-13T09:01:00.001+03:002016-09-29T11:54:43.471+03:00Zama Zimebadilika Sasa<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-ck3ABt4B9Y0/Vw3gSoy47VI/AAAAAAAAB9U/LW3_t5S6QPsOFliDtJgoZZcVIBZ2jLh4ACLcB/s1600/images%2B%25287%2529.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="200" src="https://4.bp.blogspot.com/-ck3ABt4B9Y0/Vw3gSoy47VI/AAAAAAAAB9U/LW3_t5S6QPsOFliDtJgoZZcVIBZ2jLh4ACLcB/s200/images%2B%25287%2529.jpg" width="158" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Dunia inabadilika sasa, dunia inabadilika kila siku, kila
saa kila dakika, kila sekunde, kila mwaka dunia inabadilika. Je wewe
unabaadilika kulingana na dunia au unaendelea kuwa vile vile. Yaani wewe
unabaki kuwa vile vile kila siku, kila wiki, kila mwaka na kila mara au
unabadilika kulingana na wakati? Ni muhimu ukajijibu maswali haya bila
kigugumizi hata siku.</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Kichwa cha makala yetu kinasema zama zimebadilika. Ndio zama
zimebadilika sana tena sana ndio maana jambo lililokuwa linafanywa jana leo
linaweza kuja kufanywa kwa njia nyingine tofauti na ile ya jana swala hapa nalo
taka kulenga ni katika mabadiliko ya kiutendaji. Zamani ilikuwa ni kuwa kila
mtu anakula kutokana na nguvu zake, yaani matumizi ya nguvu ndio yalikuwa
yanakufanya uishi. Hivyo basi katika zama hizo mwenye nguvu ndiye aliyeweza
kudumu na yule dhaifu au asiye na nguvu alikuwa hana nafasi ya kuishi au
aliishi kwa shida sana.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Lakini naomba nioneshe masikitiko makubwa sana juu ya
hili maana katika wakati wa sasa jambo hili ni haliwezekani kwa sasa, maana
mfumo huu wa maisha umekuwa unafanya kazi kwa wanyama tu ambapo mnyama mwenye
nguvu mfano simba ndiye mwenye uhakika wa kuishi zaidi kuliko wanyama wasio na
nguvu mfano swala ambao mara nyingi hujikuta wakiwindwa na kuliwa na simba
hawa. Ndio maana nakuambia kuwa zama zimebadilika.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Zama zikoje sasa? Kwa zama za sasa au zama za leo hii,
nguvu sio kitu bali akili ndio kila kitu, kwa kifupi ni kwamba matumizi ya
akili yamekuja kufanyiwa mabadiliko na matumizi ya akili hivyo basi matumizi ya
nguvu nyingi pasipo na akili ni sawa na kazi bure. Dunia ya sasa inachangamoto
na ushindani mkubwa sana ambapo ni lazima uingie katika mapambano hayo ili
uweze kufanikiwa lakini silaha ya kupambana kwa sasa sio nguvu tena bali ni
matumizi ya akili. Napo zungumzia akili narejelea matumizi ya fikira chanya na
ubunifu katika utatuzi wa changamoto ambazo zinatukabili siku hadi siku.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Leo hii kutokana na ongezeko la ushindani wa biashara
huwezi kusema utatumia nguvu katika kufanya biashara, nguvu ya mwili haina
maana katika ushindani wa biashara bali nguvu ya akili ndiyo yenye tija katika
biashara ya leo hii. Yaani ili uweze kushinda na kufanya biashara yako ikuwe
kwa kiwango kikubwa sana basi inatakiwa utumie akili na sio nguvu ya mwili.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Zamani ilikuwa ili mkulima aweze kufanikiwa lazima atumie
nguvu nyingi sana katika kulima ashinde shambani huko kila siku kuanzia asubuhi
hadi jioni lakini sio sasa, naposema matumizi ya akili ni pamoja na kukubaliana
na mabadiliko kisha ukachukua hatua mfano katika kilimo anza kutumia mbegu za
kisasa, lima kwa wakati, fata ushauri wa kitaalamu n.k hayo ndio matumizi ya
akili nayo yarejelea hapa. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kumbuka kuwa dunia inabadilika kila dakika, kila siku,
leo hii hata bondia anaetegemea nguvu zake tu au uwingi wa misuli yake ambayo
imetapakaa mwili mzima pasipo kutumia akili ujue kila siku wewe bondia utakuwa
unapigwa tu. Ni bora ukavitumia vyote lakini nakushauri kuwa matumizi ya nguvu
ndio yazidi kuliko matumizi ya nguvu. Kwanini ni muhimu kufanya hivyo, ni
muhimu kufanya hivyo kwa kuwa nguvu zikizidi akili maana yake ni kuwa wewe
utakuwa unaendeshwa na matakwa ya mwili, lakini akili zikizidi nguvu ya mwili
hii inamaanisha kuwa utaweza kuuzuia mwili wako kwa namna fulani na hapo ndipo
mafanikio huanza kujitokeza kwa kiwango kikubwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Nikutakie
kila kheri katika safari yako ya kuboresha maisha yako ya kila siku.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<b><i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"> </span><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;"> </span><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-align: center;">Mwandishi: Baraka Maganga.</span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
</span><a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">KARIBU KATIKA DARASA HURU.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Je?
unataka kujifunza na kuwa bora zaidi?,Je? unataka usihangamie kwa kukosa
maarifa?,Je? unataka kujua namna ya kutatua matatizo na changamoto mbalimbali
zinazokukabili?,Je? unakumbana na hali ya kukata tama mara kwa mara?,Je?
unashindwa kujiwekea malengo n.k</span></i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<b>Kama jibu ndio basi karibu katika darasa huru. </b>Namna ya kujiunga na
darasa huru tuma kiasi cha pesa cha shilingi <b>5000/=</b> kwa <b>namba 0754612413
kwa mpesa (jina. Baraka magama) au 0652612410 kwa tigo pesa. (jina: Baraka
maganga).</b> Kisha, tuma namba yako ya simu kwenda namba moja kati ya hizo
huku ukiwa umeambatanisha na jina lako kamili kama linavyojitokeza katika
m-pesa au tigo pesa. Kumbuka kufanya hivyo huku ukiwa na uhakika kuwa pesa yako
imepokelewa na hapo utaunganishwa kwenye kundi la whatsapp ambalo litakuwa na
jina la <b>DARASA HURU.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">N.B, huduma hii itatolewa kwa njia ya whatsapp, hivyo
hakikisha simu yako ina uwezo wa whatsapp ndipo ujiunge ili kuepuka usumbufu<b>.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Barikiwa.<o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-7222104794133662362016-04-12T08:43:00.001+03:002016-09-29T11:56:25.876+03:00Tusihishie Kushabikia Tu.<div class="MsoNormal">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-ZikxjxDksMY/VwyK7HmIrKI/AAAAAAAAB80/a7L3887a-yEPVp4ZtsdcLI0gG3b29xbRgCLcB/s1600/images%2B%25284%2529.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="112" src="https://3.bp.blogspot.com/-ZikxjxDksMY/VwyK7HmIrKI/AAAAAAAAB80/a7L3887a-yEPVp4ZtsdcLI0gG3b29xbRgCLcB/s200/images%2B%25284%2529.jpg" width="200" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Leo hii tanzania kimeibuka kitu ambacho kimeibuliwa na
serikali ya awamu ya tano. Ambacho kinatufanya wengi wetu tuwe mashabiki sana
wa hiki kitu. Wengi wetu leo hii tumekuwa tukishabikia sana sera ya mheshimiwa
raisi ya kutumbua majibu, kweli wengi sana tunashangiulia lakini leo nataka
kukusisitiza na kukuonya kuwa usiishie kuwa shabiki tu wa hii sera ya kutumbua
majipu.</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Sera hii ilianzishwa na mheshimiwa raisi kwa lengo moja
tu la kuwawajibisha wasiotaka kuwajibika wenyewe kwa ihali yao. Sasa kama wewe
unaishabikia sera hii ni muhimu utambue kuwa neno kutumbua jibu ni kwa wale wasiotaka
kuwajibika na sio vinginevyo na pindi unaposhabikia kuwa fulani kawajibishwa
anza kujiuliza kuwa wewe unawajibika kwa kiasi gani?. Dhana hii imekuja
kuonekana kuwa ni mwiba mkali sana kwa viongozi na watumishi wa serikali lakini
hapa mimi sipo kuongeana na viongozi naongea na wanamafanikio na wanaotaka
mafanikio.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kwako wewe mwanamafanikio hutakiwi kushabikia tu dhana
hii pasipo kuelewa maana yake, mimi nishakupa maana yake kuwa mtu yoyote
asiyetaka kutekeleza wajibu wake ni jipu. Sasa kwa kuangalia hilo wewe unahisi
hapa tanzania tuna majipu mangapi?. Kwa watumishi na viongozi wa serikali akiwa
jipu anatumbuliwa maana yake anakosa kazi, je mambo yakoje kwako wewe unayetaka
mafanikio?, kwako wewe unayetaka mafanikio kama ukiwa jipu hii inamaanisha kuwa
hauwezi kuyapata mafanikio kamwe na kwako wewe ulie na mafanikio alafu ni jibu
hapa litakalo tokea ni kuwa utapata anguko kubwa sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Nimesema usiishie kuwa shabiki tu wa hili neno la
kutumbua majipu, maana wakati mwingine kuwa shabiki tu kunakufanya ushindwe
kufikiri nje ya boksi. Leo hii kila mtu anafurahi akisikia kiongozi fulani
katumbuliwa jipu lakini turudi kwako wewe baba wa familia ambaye ukiamka tu ni
wewe na mambo yako tu hujui familia itakula nini, watoto wameenda shule au la,
hujui hata kama familia ni wazima au la ila swala ni kuwa wewe ukiamka tu
unakurupuka na kwenda kijiweni kucheza bao na kupiga stori nyingi kweli wakati
hutaki kuwajibika kwa lolote lile linalohusu familia, nataka nikuulize kwa
maana niliyoitoa kuhusu jipu, je hapo wewe sio jipu?.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Wewe mfanyakazi kwanini hutaki kufanya kazi ipasavyo
unafanya kazi ilimradi umefanya nataka nikuulize hiyo kazi uliombewa au uliomba
mwenyewe, hivi kuna aja gani na kufanya kazi ambayo huipendi, nakusikia unasema
aa bhana kazi tunafanya hivyo hivyo tu. Ukiwa unasema hivyo kuwa unafanya kazi
hivyo hivyo tu ndio maana unajikuta ukitumbuliwa jipu maana kitendo cha kusema
kazi unafanya hivyo hivyo hii inamaanisha kuwa huwajibiki ipasavyo, sasa nataka
nikuulize uliajiliwa ili ukafanye kazi au ili ukafanye kazi hivyo hivyo?<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Nakuona mkulima unafurahi maana hakuna wa kukutumbua
jibu, ni vizuri lakini nataka nikuambie ukiona kila siku kipata chako cha mazao
ni kile kile miaka nenda miaka rudi jua na wewe mkulima ni jipu, tena jipu
kubwa tu sema hakuna wa kukutumbua tu ndio maana unafurahi furahi tu. Nataka nikusisitize
sana ndugu mkulima kuwa jibidiishe katika kilimo, tafuta mbinu mpya za kilimo,
tafuta taarifa mpya za kilimo ili usiwe mkulima jipu hata kama hakuna wa
kujitumbua.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Katika mafanikio tunasema jipu zuri ni lile la kujitumbua
mwenyewe, yaani njia bora ya kuwajibika ni kujiwajibisha mwenyewe usisuubiri
kujakuwajibishwa kama watumishi wa serikali.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mwandishi:
Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
<a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe -Bmaganga22@gmail.com</a>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">KARIBU KATIKA DARASA HURU.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Je?
unataka kujifunza na kuwa bora zaidi?,Je? unataka usihangamie kwa kukosa
maarifa?,Je? unataka kujua namna ya kutatua matatizo na changamoto mbalimbali
zinazokukabili?,Je? unakumbana na hali ya kukata tama mara kwa mara?,Je?
unashindwa kujiwekea malengo n.k</span></i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<b>Kama jibu ndio basi karibu katika darasa huru. </b>Namna ya kujiunga na
darasa huru tuma kiasi cha pesa cha shilingi <b>5000/=</b> kwa <b>namba 0754612413
kwa mpesa (jina. Baraka magama) au 0652612410 kwa tigo pesa. (jina: Baraka
maganga).</b> Kisha, tuma namba yako ya simu kwenda namba moja kati ya hizo
huku ukiwa umeambatanisha na jina lako kamili kama linavyojitokeza katika
m-pesa au tigo pesa. Kumbuka kufanya hivyo huku ukiwa na uhakika kuwa pesa yako
imepokelewa na hapo utaunganishwa kwenye kundi la whatsapp ambalo litakuwa na
jina la <b>DARASA HURU.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">N.B, huduma hii itatolewa kwa njia ya whatsapp, hivyo
hakikisha simu yako ina uwezo wa whatsapp ndipo ujiunge ili kuepuka usumbufu<b>.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Barikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-12018704271974208342016-04-09T09:22:00.001+03:002016-09-26T08:15:39.240+03:00Mfahamu Mtu Huyu Vizuri.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Habari za wakati huu ndugu mpenzi msomaji wa makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema katika kuhakikisha
kuwa unapambana ilivyo ili kuweza kujiletea mafanikio, nami nasema mapambano
yanaendelea kamwe usikate tamaa hata siku moja. Maana mpambanaji huwa hakubali
kukata tamaa kirahisi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Wakati unaendelea kupambana ili kuhakikisha kuwa
unajiletea mafanikio ni vyema ukatambua jambo hili,kwa kuwaa ninaaini kuwa wewe
hiki kitu unakifanya ndio maana nikakuuliza je? Mtu huyu unamfahamu vizuri? Najua
kila mtu anasehemu au ana mtu ambaye huwa anakuwa anamwomba ushauri sasa
kutokana na kitendo hiki ndio maana kichwa cha makala hii kinauliza mtu huyu
unamfahamu vizuri?</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-HXYpkhtMycc/VwifdOxXdTI/AAAAAAAAB8E/p8wVLDw_wp8Q7COPsCj-LVpYcvlV0cOqw/s1600/images%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-HXYpkhtMycc/VwifdOxXdTI/AAAAAAAAB8E/p8wVLDw_wp8Q7COPsCj-LVpYcvlV0cOqw/s1600/images%2B%25281%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Najua unamshauri wako, tena huyu ni mtu unaemwamini na
kumtegemea kwa kiasi kikubwa sana tena sana, kwanini nimekuuuliza basi kuwa mtu
huyu unamfahamu vizuri? Hapa nimekuuuliza kwa sababu ndani ya washauri wetu
kuna mambo makuu mawili au kuna washhauri wa aina mbili, yaani kuna mtu anaetoa
ushauri kwa kutumia uzoefu na kuna mtu anaetoa ushauri kama sehemu ya taaluma
yake. Lakini ukiachilia mbali hizi tofauti wote wanafanya kazi moja mabayo ni
ushauri. Sasa jambo nalo kuuliza unamfahamu mshauri wako, yaani unaufahamu kama
yeye anatoa ushauri kutokana na uzoefu au anafanya kama taaluma?.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mshauri anaefanya ushauri kwa kutumia uzoefu sio kuwa ni
mbaya hapana lakini amekosa kitu kimoja ambacho ni taaluma, pia tatizo moja la
mshauri wa namna hii ni kuwa anaendeshwa na matukio yaliyokwisha kutokea nyuma
hivyo basi endapo litatokea jambo jipya au changamoto ambayo ni nje na uzoefu
wake inakuwa ni ngumu sana kwake yeye kuweza kutatua changamoto husika. Pia mshauri
huyu huwa anakuwa akitawaliwa na hisia zake zaidi kuliko za wengine hivyo basi
hata kama wewe ukiwa na wazo zuri ila ni kinyume na uzoefu wake pamoja na hisia zake basi hutoweza kupata ushauri
sahihi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Pia mshauri mwenye taaluma huyu sio kuwa nae ni mbaya ila
tatizo linakuja kuwa mshauri wa namna hii ni kuwa anakosa kitu kimoja ambacho
ni uzoefu. Lazima utambue kuwa maishani uzoefu una nafasi yake katika utatuzi
wa changamoto maana uzoefu huwa unatusaidia kupata hisitoria ya tatizo husika. Hivyo
basi uzoefu ni muhimu lakini mshauri mwenye taaluma anaweza kujikuta akiwa
katika wakati mgumu pindi linapokuja swala la uzoefu. Lakini uzuri wa mshauri
huyu ni kuwa hatawaliwi na hisia bali anafanya kazi yake kutokana na taaluma
yake inavyomwongoza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Hivyo basi nini ufanye sasa, jambo la kufanya hapa ni kuwa
hakikisha kuwa unamfahamu vyema mshauri wako kwa kuwa huyu ni mtu ambaye
anakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yako, najua ni ngumu kumpata mtu
mwenye taaluma na uzoefu hilo lisikupe shida wewe lakini hakikisha kuwa
unamfahamu mtu huyu anaekushauri, yaani uwe na uwezo wa kutambua kuwa mshauri
huyu je anaongozwa na hisia zake katika kunishauri au anatumia taaluma na je
anayonishauri yanaendana. Maana kuna mtu ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani
ambalo yeye aliwahi kufanya akashindwa tambua kuwa hapo hutoweza kupata ushauri
mzuri bali utakuwa ni ushauri wa kukatisha tamaa tena kwa kiwango kikubwa sana,
maana siku zote aliyeshindwa hawezi kukupa wewe ushauri wa kukutia moyo kuwa
utafanikiwa ili hali yeye alishindwa. Hivyo
basi hakikisha kuwa unamfahamu vyema mshauri wako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">]<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mwandishi:
Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
<a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe -Bmaganga22@gmail.com</a>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">KARIBU KATIKA DARASA HURU.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Je?
unataka kujifunza na kuwa bora zaidi?,Je? unataka usihangamie kwa kukosa
maarifa?,Je? unataka kujua namna ya kutatua matatizo na changamoto mbalimbali
zinazokukabili?,Je? unakumbana na hali ya kukata tama mara kwa mara?,Je?
unashindwa kujiwekea malengo n.k</span></i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<b>Kama jibu ndio basi karibu katika darasa huru. </b>Namna ya kujiunga na
darasa huru tuma kiasi cha pesa cha shilingi <b>5000/=</b> kwa <b>namba 0754612413
kwa mpesa (jina. Baraka magama) au 0652612410 kwa tigo pesa. (jina: Baraka
maganga).</b> Kisha, tuma namba yako ya simu kwenda namba moja kati ya hizo
huku ukiwa umeambatanisha na jina lako kamili kama linavyojitokeza katika
m-pesa au tigo pesa. Kumbuka kufanya hivyo huku ukiwa na uhakika kuwa pesa yako
imepokelewa na hapo utaunganishwa kwenye kundi la whatsapp ambalo litakuwa na
jina la <b>DARASA HURU.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">N.B, huduma hii itatolewa kwa njia ya whatsapp, hivyo
hakikisha simu yako ina uwezo wa whatsapp ndipo ujiunge ili kuepuka usumbufu<b>.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Barikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-31777085754546521582016-04-06T08:05:00.001+03:002016-09-26T08:16:07.298+03:00Njia Hizi Zitakusaidia Kupambana Pindi Unapokabiliwa Na Changamoto.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Maisha yamejaa changamoto za namna mbalimbali, wakati
unapambana ili kujihakikishia kuwa unapata mafanikio au matokeo mazuri juu ya
mambo fulani swala la changamoto huwa linakuwa ni jambo ambalo halihepukiki
wakati mwingine. Ni muhimu tupitie katika changamoto kwani changamoto hizi huwa
zinatujenga na kutufanya tuwe imara zaidi na zaidi maishani,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Ni muhimu kusimama imara pindi tunapokuwa tunakabiliwa na
changamoto hizo. Hii ni kutokana na sababu kuwa uwezo wa kupambana na
changamoto hizi huwa upo mikononi mwetu. Ni muhimu kutambua kuwa kwa kila
changamoto inayokukabili ni muhimu uanze kujihoji kwanza na kujiuliza wewe
mwenyewe ufanye nini juu ya changamoto husika. Kwa kufanya hivyo utajikuta
unapata majibu ambayo yanakuwa msaada mkubwa sana kwako. Pamoja na hayo
zifuatazo ni baadhi ya njia ambazo zaweza kukusaidia wewe katika utatuzi wa
changamoto inayokukabili:-</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-l0ffDMN8Cu8/VwSY4wDZy-I/AAAAAAAAB7g/VfoX3ydc8-oTPxSNLVuVUBrIhqsDplSjQ/s1600/images.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-l0ffDMN8Cu8/VwSY4wDZy-I/AAAAAAAAB7g/VfoX3ydc8-oTPxSNLVuVUBrIhqsDplSjQ/s1600/images.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<b style="text-indent: -0.25in;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kuwa mkweli, </span></b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-indent: -0.25in;">hapa
nazungumzia ukweli baina ya pande mbili. Ukweli wa nafsi yako na ukweli kwa
wengine. Unapokabiliwa na changamoto na unapotaka kuitatua changamoto husika
basi hakikisha kuwa hu mkweli wa nafsi yako na kwa wengine. Ukweli wa nafsi
yako ni muhimu pale ambapo utakuwa unajihoji mwenyewe ili kutaka kujua nini
haswa chanzo cha changamoto ile, na ufanye nini wewe kama wewe ili kuitatua
changamoto hiyo. Ukweli wa nafsi yako mwenyewe ni muhimu kwa kuwa huu
utakuondolea ile hali ya kutaka kuwasingizia watu wengine kuwa wao ndio chanzo
cha changamoto husika wakati sio kweli, pengine wewe mwenyewe ndio chanzo cha
changamoto husika.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Ukweli kwa watu wengine huu utakuwa na
msada pale ambapo unataka kumshirikisha mtu fulani ili aweze kukupa msaada wa
mawazo juu ya nini ufanye kuhusiana na changamoto hiyo. Ni muhimu kuwa mkweli
pale unapotaka kupata msada wa mawazo kutoka kwa wengine, hii itawasaidia wao
kuelewa changamoto inayokukabili kinagaubaga na hatimaye wakaweza kutoa mchango
wao kwa usahihi kwa kuwa umeiweka wazi changamoto na wameielewa kuliko
ungeficha ficha mambo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">2.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Omba ushauri kwa mtu sahihi</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">,
hapa nachomaanisha ni kuwa unapokabiliwa na changamoto ni muhimu ukaelewa kuwa
sio kila mtu anaweza kukupa ushauri wa ni nini haswa unapaswa kufanya ili
kuweza kukabiliana na changamoto husika. Ndio maana ninakuambia omba ushauri
kwa mtu sahihi. Mfano unakabiliwa na
changamoto katika kilimo cha nyanya ni muhimu ukaomba ushauri kwa mkulima au
mtaalamu wa kilimo hicho cha nyanya na sio unachangamoto katika kilimo cha
nyanya wewe unaenda kuomba ushauri kwa mkulima yoyote yule au mtaalamu yoyote
yule wa maswala ya kilimo. Ni muhimu utambuwe kuwa kuna kitu kinaitwa ubinafsi
katika maisha, yaani kutokana na upana wa jambo fulani kila mtu leo hii
anafanya ubinafsi katika taaluma fulani
ndio maana leo hii unaweza kukuta kuna daktari wa macho pekee mengine hajui hii
ni kutokana na ubinafsi alioamua kuufanya katika taaluma husika, hivyo ni
muhimu ukaelewa mtu unaemfata kutaka ushauri yuko katika jambo hilo kiusahihi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Nimekupatia njia mbili rahisi sana za
kuzifuata pindi unapokabiliwa na changamoto, nina imani kuwa njia hizi hazina
ugumu wowote katika kuzitekeleza ndio maana nikasema ni rahisi. pia nina imani
kuwa ukizifuata njia hizi utapata matokeo mazuri na utaweza kuitatua aina
yoyote ile ya changamoto inayokukabili. Kumbuka changamoto ni kitu ambacho
mwanadamu hawezi kukiepuka ila anao uwezo wa kukabiliana nazo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"> Mwandishi: Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
<a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe -Bmaganga22@gmail.com</a>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">KARIBU KATIKA DARASA HURU.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Je?
unataka kujifunza na kuwa bora zaidi?,Je? unataka usihangamie kwa kukosa
maarifa?,Je? unataka kujua namna ya kutatua matatizo na changamoto mbalimbali
zinazokukabili?,Je? unakumbana na hali ya kukata tama mara kwa mara?,Je?
unashindwa kujiwekea malengo n.k</span></i><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<b>Kama jibu ndio basi karibu katika darasa huru. </b>Namna ya kujiunga na
darasa huru tuma kiasi cha pesa cha shilingi <b>5000/=</b> kwa <b>namba 0754612413
kwa mpesa (jina. Baraka magama) au 0652612410 kwa tigo pesa. (jina: Baraka
maganga).</b> Kisha, tuma namba yako ya simu kwenda namba moja kati ya hizo
huku ukiwa umeambatanisha na jina lako kamili kama linavyojitokeza katika
m-pesa au tigo pesa. Kumbuka kufanya hivyo huku ukiwa na uhakika kuwa pesa yako
imepokelewa na hapo utaunganishwa kwenye kundi la whatsapp ambalo litakuwa na
jina la <b>DARASA HURU.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">N.B, huduma hii itatolewa kwa njia ya whatsapp, hivyo
hakikisha simu yako ina uwezo wa whatsapp ndipo ujiunge ili kuepuka usumbufu<b>.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Barikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Karibu sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraph">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-82561683706796521182016-04-05T10:34:00.003+03:002016-09-26T08:16:52.845+03:00Fahamu Kuwa Kila Jambo Linatawaliwa Na Kitu Hiki<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Duniani kuna vitu vingi sana ambavyo binadamu huwa
tunakuwa tunavifanya au tunataka kuvifanya, vitu hivi vinaweza kuwa vizuri au
vibaya kutoka kwa mtu mmoja mpaka mtu mwingine hii ni kutokana na tofauti za kimtazamo
miongoni mwetu binadamu. Lakini pamoja na tofauti hizi za kimtazamo huwa
tunakuwa na kitu kimoja ambacho kinaweza kutuunganisha na kutuweka pamoja na
kitu hiki ndicho ambacho wapaswa kujua na kwenda nacho kama unataka kupata
matokeo makubwa. Kitu hicho sio kingine bali ni kanuni.</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Nafahamu kanuni sio jambo geni sana kwako ndugu msomaji.
Kwa wale ambao wamebahatika kupita katika shule kuna masomo kama hisabati na
fizikia mfano haya ni masomo yenye kutawaliwa na kanuni, yaani katika utafutaji
wa majawabu ya maswali ya hesabu kuna kanuni na ukienda kinyume na kanuni hiyo
hauwezi kupata jibu mwafaka la swali lako. Mfano katika hisabati kuna kanuni
maarufu sana ijulikanayo kama MAGAZIJUTO. Hii kanuni ni kifupi cha baadhi ya
matendo mfano MA- husimama kwa niaba ya mabano wakati GA- husimama kwa niaba ya
gawanya. Hivyo katika kufanya swali la mtindo huu lazima uanze na kuzitoa namba
katika mabano, uje ugawanye, baadae uzidishe, ujumlishe na hatimaye utoe. Hivyo
ndivyo kanuni isemevyo na kwa kufanya hivyo basi utapata jibu sahihi kinyume na
hapo hupati jibu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-kzwosFVYPJI/VwNqZTbhQpI/AAAAAAAAB7A/jNHSXvbq9WAnetZqVlEgW2azroLTcj7Uw/s1600/images%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-kzwosFVYPJI/VwNqZTbhQpI/AAAAAAAAB7A/jNHSXvbq9WAnetZqVlEgW2azroLTcj7Uw/s1600/images%2B%25281%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%;">Sasa kama ilivyo katika hesabu hata katika maisha halisia
haya mambo yako hivyo hivyo. Maishani kila kitu kina kanuni zake leo hii
ukitaka kulima nyanya, kilimo hiki cha nyanya kina kanuni zake, ambazo lazima
uzifuate kwa makini na kama inavyotakiwa ndipo utapata mazao bora. Ukitaka
kulima miti lazima ujue kanuni za miti, mfano miti mingi huwa tayari kwa
kuvunwa baada ya kipindi cha miaka kuanzia mitano na kuendelea hiyo ni kanuni
ambayo unatakiwa uifuate kinyume na hapo hauwezi kupata kitu chochote kutoka
katika miti. Kwahiyo katika kilimo mfano jambo nalo taka kusisitiza ni kuwa
kila zao lina utaratibu wake ambao ni muhimu sana kwa nza sio muhimu ni lazima
ufuatwe na anaefanya kilimo husika, na ikumbukwe kuwa tofauti za mazao zinaleta
tofauti za kanuni ndio maana kanuni za miti huwezi kupeleka kwenye nyanya au
pilipili hoho.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mafanikio ni kitu ambacho kina kanuni nyingi sana tena
sana, mfano wa kanuni hizo ni kama vile jiwekee malengo, usikate tamaa, kuwa na
marafiki chanya, fanya mazoezi ili kuimarisha afya ya mwili wako, tafuta timu
sahihi ya kushirikiana nayo, kuwa mvumilivu, ua hofu,kuwa na msimamo,epuka
visingizion.k.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Pengine umezoea kanuni haziko katika maandishi yaani
umezoea kanuni huwa zinakuwa katika mfumo wa namba, sikulaumu hii ni kutokana
na mfumo wa elimu ambao umepitia ambapo kila kanuni huwa ipo katika mfumu wa
namba, lakini kumbuka kuwa kule ni shuleni na hapa tunazungumzia maisha halisi
hivyo sio lazima kanuni hizi ziwe katika mfumo wa namba. Katika maisha halisi
kanuni nyingi zipo katika mfumo wa maandishi na ninaposema kanuni simaanishi
mtu mpaka uambiwe hii ndio kanuni hapana bali nacho rejelea hapa ni ile hali
hata ya kupewa utaratibu au maelezo ya jinsi gani ya kulifanya jambo hicho ndicho
nacho maanisha napo sema kanuni.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Swali la kujiuliza leo ni kuwa je unazijua kanuni za
unachokifanya? Kama jibu ni ndio je unazifuatata? Kama hauzifuati basi
nakuambia leo hiyo ndio sababu namba moja ya kwanini haufanikiwi. Na kama
huzijui unasubiri nini? anza kuzitafuta kuanzia leo hii.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mwandishi:
Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
</span><a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-89418681106167762812016-04-04T11:29:00.004+03:002016-09-26T08:17:34.381+03:00Usikubali Kutawaliwa Na Vitu Hivi Viwili.<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Usikubali Kutawaliwa Na Vitu Hivi Viwili.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Habari za wakati huu ndugu mpendwa msomaji wa makala za
mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika
kupambana na hatimaye kuhakikisha kuwa unajiletea mafanikio binafsi. Nami
nakusihi endelea kupambana mpaka kieleweke.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Wakati unaendelea kupambana ili kujiletea mafanikio basi
ni vyema ukatambua kuwa vitu hivi viwili ni hatari sana kwako endapo
utaviruhusu vikutawale maishani. Maandiko ya biblia yanatueleza kuwa “kuweni na
kiasi”. Maneno haya yana maana kubwa sana na ninaomba uyashike wewe ambae
unataka kufanikiwa. Hapa nakwenda kukushirikisha vitu viwili ambavyo kamwe
usiruhusu vikutawale maishani mwako.</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><o:p></o:p></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-3aKp8GNUQ9w/VwIlxtsRrJI/AAAAAAAAB6Y/GUDBHKL4sNUxSXbsWoiporEjyrAJIY2qw/s1600/download%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-3aKp8GNUQ9w/VwIlxtsRrJI/AAAAAAAAB6Y/GUDBHKL4sNUxSXbsWoiporEjyrAJIY2qw/s1600/download%2B%25281%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<b style="text-indent: -0.25in;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Tamaa ya pesa,</span></b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-indent: -0.25in;">
ndugu msomaji wa makala hii ni vyema ukatambua kuwa pesa ni kitu muhimu sana
tena sana kwa ajili ya maisha yetu ya kila siku. Natambua kuwa pesa ni kitu
muhimu kwa kuwa ndio inayotupatia mahitaji yetu muhimu kama vile chakula,
maradhi, nguo na huduma za kiafya. Natambua kuwa bila pesa huwezi kupata hivi
vitu. Lakini naomba nikuonye sasa kuwa tamaa ya pesa aikufanyi wewe kuwa na
pesa, na kubwa zaidi tamaa ya pesa inaweza kukupelekea wewe kutaka kupata pesa
kwa njia zisizo halali. Na hili ndilo jambo ambalo limekuwa likitukumba wengi
wetu kwa sasa. Kwamba kutokana na tamaa ya pesa tunajikuta tunaanza kufanya
mambo hata ambayo ni kinyume na maadili na miiko ya jamii kisa tu tupate pesa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 107%; text-indent: -0.25in;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Ni vizuri kutamani kuwa na pesa lakini
mimi naomba wewe mwanamafanikio penda pesa usitamani pesa maana tamaa ni mbaya.
Ndio maana nakuambia kuwa na kiasi. Hata kama unatamani kuwa na pesa basi hiyo
tamaa yako iwe na kiasi, isiwe tamaa iliyopitiliza ambayo itakufanya wewe sasa
kutaka kuwa mwizi, jambazi, kahaba au hata shoga. Ongezeko la vitendo
visivyokubalika na jamii kama vile ushoga,ukahaba, ujambazi na wizi ni
kiutokana na tamaa za pesa ambazo watu tumekuwa nazo. Nasisitiza kuwa na kiasi.
<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">2.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kutaka kulipwa zaidi ya unavyositahiri, </span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">hili
ni jambo ambalo watu tumeanza kukumbwa nalo nami nakusihi wewe unayetaka
kufanikiwa hakikisha kuwa hautawaliwi na jambo hili la kutaka kulipwa zaidi ya
unavyositahiri. Hapa nacho maanisha kama unatoa huduma fulani usitake eti
kwamba wewe ulipwe zaidi kuliko ubora wa huduma yako. Kama unauza bidhaa fulani
basi hakikisha kuwa ule ubora wa hiyo bidhaa unaendana na pesa unayoitaka. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Unafikiri nini chanzo cha matukio ya
utapeli na udanganyifu ni kutokana na sababu kuwa watu wanataka kulipwa zaidi
ya wanavyostahiri, hiki ndio chanzo. Sasa nakuonya wewe unaetaka kufanikiwa
kuwa jambo hili wewe halikufai waache wafanya wengine ila sio wewe. Na nakuonya
kwasababu waswahili wanasema “njia ya muongo ni fupi” hivyo kama ukifanikiwa
kwa njia hii tambua kuwa njia hii haitakupa mafanikio ya milele.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kingine nachokusisitiza kuwa usipende
kulipwa zaidi tofauti na huduma unayostahili ni kwa sababu dunia inabadilika na
ushindani ni mkubwa sana leo hii, hivyo kama unataka kushindana na wenzio na
ubaki katika ushindani huo hakikisha kuwa unatoa kitu bora na kitu hicho
kiendane na thamani unayotaka. Mfano utakaposema bidhaa fulani labda tuseme
unauza nguo fulani elfu hamsini kweli ionekana ni ya elfu hamsini sio nguo ya
elfu kumi na tano wewe unataka uiuze elfu hamsini. Huko ndio kulipwa zaidi nako
kuzungumzia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Kila kheri katika kuyasaka mafanikio. Na
usisahau kutembelea blog hii ili kuweza kujifunza zaidi na zaidi.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mwandishi:
Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">:-barua
</span><a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 107%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-34526693550795408292016-03-26T18:45:00.003+03:002016-03-26T18:45:56.505+03:00Tabia Moja Muhimu Kwako Wewe Unaetaka Kufanikiwa.<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao
huu ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vyema mimi pia naendelea
vyema katika mapambano. Turudi katika mada yetu ya leo ambapo nataka kukushirikisha
juu ya jambo muhimu ambalo unatakiwa kuwa nalo kama kweli unataka kufanikiwa.
Jambo lenyewe ni kuhusu </span><b style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kuendelea
kujifunza. </b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kama kweli unataka kufanikiwa hakikisha unajijengea tabia hii
kuanzia sasa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://encrypted-tbn1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcTS4ipRCEiMoicn0ojnp8tb7oC7xLLMBz6scpFKZRZerHuapJpk" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="Image result for continue learning" border="0" src="https://encrypted-tbn1.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcTS4ipRCEiMoicn0ojnp8tb7oC7xLLMBz6scpFKZRZerHuapJpk" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ipo nguvu kubwa sana katika kujifunza kama kweli unataka kuwa mwenye mafanikio basi
hakikisha kuwa unajifunza kila siku. Yaani usikae bila kujifunza katika kila
jambo ambalo unalifanya. Uwe mkulima, uwe daktari, uwe mwanafunzi, uwe hakimu
uwe nani wewe endelea kujifunza tu. Nakuambia hivyo kwa kuwa takwimu
zinaonyesha kuwa asilimia 40% ya watu wengi duniani huacha kujifunza pindi tu
wanapomaliza elimu zao yaa iwe sekondari au chuo, huo ndio huwa mwisho wa
kujifunza kwao. Sasa kwa wewe unayetaka kufanikiwa hakikisha kuwa haufanyi
makosa katika kujifunza.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><o:p></o:p></span><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Labda unajiuliza kuwa ni vipi sasa unaweza kujifunza,
pengine unawaza kuwa nirudi shule tena
au la?, hapana, hapa nakupatia namna nne
ambazo unaweza kuzitumia katika kujifunza tena kwa gharama ndogo kuliko
unavyofikiria sasa. Njia hizi ni zifuatazo:-<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">1.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kupitia kusafiri,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
unaweza kujifunza kupitia kusafiri, hii ni kutokana na sababu kuwa wanadamu
tunatofautiana kiutamaduni kwa kiasi kikubwa sana, hivyo katika kusafiri kutoka
sehemu moja kwenda kwingine kunaweza kukusaidia wewe kubadili maisha yako kwa kuwa utaweza kujifunza namna watu wanavyoishi na wanavyofanya vitu
tofauti tofauti, hivyo hii inaweza kukusaidia wewe katika kujifunza na hivyo
kubadili maisha yako. Unaweza kujifunza namna mpya ya kuendesha shughuli Fulani
kutokana na safari uliyosafiri, hii ni kutokana na sababu kuwa umebadilisha
mazingira ulikuwapo awali.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">2.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kusoma vitabu,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
unaweza kutafuta kitabu cha mada ambayo unaitaka vitabu vipo vingi sana swala
ni kwako wewe kuamua ni kitabu gani na kinachohusu nini unachotaka kusoma. Kuna
vitabu vya kusoma online, kuna vya kununua ambapo kampuni kama vile amazoni
zinauza vitabu vya kila namna, pia waweza kuingia google na ukasearch kitabu
unachotaka kuhusiana na mada unayotaka na hivyo basi ukapata kujifunza mengi
zaidi na zaidi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> </span><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%; text-indent: -18pt;"><span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><b style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kusoma magazeti</span></b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%; text-indent: -18pt;">,
nakuona unasema magazeti dah, mbona yamejaa habari hasi, habari za kusikitisha,
habari za majonzi na simanzi na mengine mengi. Ni kweli kwa hayo unayoyasema
lakini sio kweli kuwa magazeti yamejaa mada hasi tu bali hata mada chanya zipo.
Kwenye magazeti kuna makala juu ya mambo
kama vile, afya, kilimo n.k. hivyo jambo la kufanya ni kuwa katika gazeti wewe
nunua gazeti na fuata taarifa chanya tu. Yaani fata kile ambacho unahisi
kimekufanya ununue gazeti, kama umenunua gazetiu kwa ajiri ya kusoma makala za
kilimo basi zitafute mahali zilipo kisha soma na achana na mengine.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">4.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kusoma katika blog mbalimbali,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> hii
pia ni njia moja wapo na mabayo inakuwa kwa kasi sana ambayo wewe unayetaka
kufanikiwa unaweza kuitumia kwa kiasi kikubwa sana. Leo hii kuna blog nyingi
sana ambazo zinatoa mafunzo ya namna mbalimbali, sasa kazi ni kwako wewe kuamua
blog gani inakufaa kutokana na mada zake. Blog ni nyingi mno na zinatoa elimu
tofauti tofauti hivyo basi hakikisha kuwa unatafuta blog ya kukuwezesha wewe
kupata elimu unayota.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Maisha yanabadilika badilika kila siku
na pia utaratibu wa uzalishaji, usafirishaji na hata mawasiliano unabadilika
kila wakati hivyo ni bora uwe katika
hali ya kujifunza ili tu uwe katika nafasi nzuri ya kujifunza na hivyo kukabiliana na mabadiliko haya.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Mwandishi: Baraka Maganga.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> :-barua </span><a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">pepe -Bmaganga22@gmail.com</span></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">KARIBU KATIKA DARASA HURU.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<i><span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Je?
unataka kujifunza na kuwa bora zaidi?,Je? unataka usihangamie kwa kukosa
maarifa?,Je? unataka kujua namna ya kutatua matatizo na changamoto mbalimbali
zinazokukabili?,Je? unakumbana na hali ya kukata tama mara kwa mara?,Je? unashindwa
kujiwekea malengo n.k</span></i><span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">.<b>Kama
jibu ndio basi karibu katika darasa huru. </b>Namna ya kujiunga na darasa huru
tuma kiasi cha pesa cha shilingi <b>5000/=</b>
kwa <b>namba 0754612413 kwa mpesa (jina.
Baraka magama) au 0652612410 kwa tigo pesa. (jina: Baraka maganga). </b>Kiasi hiki
ni kwa mwezi mmoja ambapo ukiisha utatakiwa kuchangia tena kiasi hicho hicho. Kisha,
tuma namba yako ya simu kwenda namba moja kati ya hizo huku ukiwa
umeambatanisha na jina lako kamili kama linavyojitokeza katika m-pesa au tigo
pesa. Kumbuka kufanya hivyo huku ukiwa na uhakika kuwa pesa yako imepokelewa na
hapo utaunganishwa kwenye kundi la whatsapp ambalo litakuwa na jina la <b>DARASA HURU.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">N.B, huduma hii itatolewa kwa njia ya whatsapp, hivyo
hakikisha simu yako ina uwezo wa whatsapp ndipo ujiunge ili kuepuka usumbufu.<b>Masomo yataanza tarehe 1/4/2016. Saa tatu
kamili usiku.<o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Barikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "agency fb" , "sans-serif"; font-size: 14.0pt; line-height: 115%;">Karibu sana.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoListParagraph">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-53965124764598767872016-03-24T09:37:00.003+03:002016-03-24T09:37:52.042+03:00Unashindwa Kwa Sababu Kitu Hiki Kimoja Kimekushinda Kufanya.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Katika maisha tumekuwa tukifanya mambo kadha wa kadha
ambayo wakati tukifanya mambo haya huwa tunakuwa na uhakika kuwa mambo hayo ni
yenye kutulendea mafanikio makubwa maishani. Lakini kuna wakati huwa tukijikuta
tumeshindwa kufanya jambo fulani huwa tunafanya tafakari ya hali ya juu kwa
ajili ya kutaka kutambua sababu haswa iliyofanya tusiweze kufanikiwa. Baada ya kugundua sababu hapa ndipo matatizo
huanza na mara nyingi tatizo hili ndilo limekuwa likitufanya tusifanikiwe siku
zote.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-8wbmq1CYCxM/VvOKuqxyTZI/AAAAAAAAB6I/oW08ZHKh27oNyaVmcY_xNBfhFRHwKdKjQ/s1600/images%2B%25284%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-8wbmq1CYCxM/VvOKuqxyTZI/AAAAAAAAB6I/oW08ZHKh27oNyaVmcY_xNBfhFRHwKdKjQ/s1600/images%2B%25284%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Unaweza ukashindwa kutekeleza jambo fulani, na baada ya
kufanya tathimini ya nini kimekufanya usifanikiwe ukagundua pengine ni kwa
sababu uliswhindwa kutumia muda vizuri yaani kuna vitu ambavyo ulivifanya na
hatimaye vikawa chanzo cha kukupotezea muda kwa kiasi kikubwa sana na hatimaye
ukajikuta umeshindwa </span><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"> </span><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">kulitekeleza hilo
jambo. Swala la kuwa umeshindwa kutekeleza jambo ulilolipanga kutokana na
kufanya mambo ambayo ni kinyume na uliyotakiwa kufanya ili kulitekeleza jambo fulani,
umekuja kuligundua baada ya kufanya tathimini ya kina ya nini kimekufanya
usifanikishe jambo husikia. Sasa hapa suluhu ya yote haya ni kuyaacha yaende
yale mambo yote yanayokupotezea muda lakini hapa ndipo huwa tunafanya makosa
makubwa sana maana huwa hatukubali kuyaacha yaende badala yake tunayashikilia
tu na hatimaye tunajikuta tumeshindwa zaidi na zaidi. Hivyo basi makala </span><b style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><i>hii
inasema unashindwa kwa sababu umeshindwa kuyaacha yaende, hiki ndicho kitu
kimoja kinachokufanya usifanikiwe</i></b><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni vyema ukatambua kuwa maishani usiwe kinganganizi wa
mambo yasiyo ya msingi wala maana yoyote kwako badala yake fanya jambo moja tu
kwa yale ambayo unahisi kuwa yanakupotezea muda wako kwa kiasi kikubwa au
hayana maana maishani mwako basi yaache yaende tu hakuna namna nyingine bali ni
kuyaacha yaende tu. Usiwe mtu wa kuhaha huku na huku kuyakumbatia mambo ambayo
kimsingi hayana maana. Tumekuwa ni watu wa kushikilia mambo ambayo hayana tija
kwetu na mbaya zaidi ni kuwa huwa tunakuwa tunafahamu kabisa kuwa jambo fulani halina
tija wala maana kwangu lakini huwa tunaendelea kukomaa nayo tu au zaidi na
zaidi yaani tunakomaa nayo tu. Sasa jambo hili ndilo linatufanya tuzidi
kushindwa kila mara maishani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Nyani ni kiumbe ambaye kwa wakati mwingine huonekana ni
mjanja sana na ni msumbufu kwa wanadamu, hili kwa wale ambao wanafanya shughuli
za kilimo katika maeneo ambayo nyani ni wengi watakuwa wananielewa kirahisi
sana, lakini nyani huyu huyu ambaye huonekana mjanja huwa anaponzwa na tabia
moja tu nayo ni ile ya kuto kuacha yaende. Kule nchini Brazili wanaowinda nyani
hutumia njia rahisi sana ya kumtega nyani, wao huchukua mtego ambao huwa na
uwazi sehemu moja ambapo nyani anaweza kupitisha mkono wake, kisha katika lile
tundu huwa wanatumbukiza ndizi na kisha kuweka ule mtego pahali fulani. Sasa nyani
akija huwa anataka kuchukua ile ndizi, lakini kwa jinsi ambavyo mtego ule
ulivyo ni kuwa nyani akishaingiza mkono wake hawezi kutoka akiwa ameshikilia
ndizi, nyani hulitambua hilo kuwa hawezi kutoa mkono akiwa na ndizi hivyo aidha
aiachie ndizi ili asikamatwe au la. Lakini cha ajabu ni kuwa nyani huyu
huendelea kung’ang’ania ndizi husika mpaka wenye mtego hufikia na kuweza
kumkamata. Hivyo kinachomponza nyani siku zote ni ile tabia ya kuto acha
yaende. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Sasa tabia hii ya nyani ndio hata binadamu tumekuwa nayo
mtu utakuta anayafahamu fika madhara ya utumiaji wa pombe kupita kiasi lakini
anaendelea, madhara ya uvivu lakini anaendelea, madhara ya kutokuweka malengo
lakini anaendelea tu kufanya mambo ambayo yanamfanya asiweke malengo n.k.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Tambua kuwa uwezo wa kushindwa au kushindwa upo mikononi
mwako chagua leo kushinda na utashinda tu na chagua leo kutokushinda na
hutoshinda kamwe vilevile.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mwandishi: Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
:-barua <a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe
-Bmaganga22@gmail.com</a><o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-77019410976493664692016-03-23T07:10:00.001+03:002016-03-23T07:10:15.582+03:00Hii Ndio Siri Ya Kushinda Maishani.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni wengi sana tumekuwa tukitaka kushinda maishani yaani
kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Ni kweli kila mpambanaji huwa anataka kushinda
katika kila pambano analoshiriki na ndio maana kiuhalisia kila binadamu
anapenda kufanikiwa na ndio maana kichwa cha makala nimeamua kukiita siri ya
kushinda maishani nikiwa nataka kulenga siri ya kufanikiwa maishani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Tumekuwa ni watu wenye kutaka kufanikiwa kwa kiasi
kikubwa kila mtu anapenda apate mafanikio makubwa, mimi nataka mafanikio, wewe
unataka mafanikio na yule anataka mafanikio. Lakini kwanini tumekuwa tukijikuta
kila mara tuko pale pale tulipokuwa jana yaani hatuendi mbele hata hatua moja
kimaisha. Kila mara tumekuwa watu wa kushindwa hata kama tukijitahidi kupanga
mipango muhimu na mizuri lakini wapi huwa tunajikuta tumeshindwa tena na tena.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-mGtTp6cet4Y/VvIW-pM2vvI/AAAAAAAAB54/r--Bh0kVDsMTMWsHwaV4imxGF0jud9YpQ/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="115" src="https://3.bp.blogspot.com/-mGtTp6cet4Y/VvIW-pM2vvI/AAAAAAAAB54/r--Bh0kVDsMTMWsHwaV4imxGF0jud9YpQ/s320/download.jpg" width="320" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Je unakumbwa na tatizo hili la kushindwa mara kwa mara
pamoja na kwamba umejiwekea malengo, umepanga mikakati ya kutekeleza malengo
yako na mengine mengi? Kama jibu ndio karibu nikupe njia rahisi ya kuweza
kuepukana na hiyo hali.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Siri ya kushinda ni <b>vitendo</b>.
Hii ndio siri kubwa na ambayo ninata uifahamu kwanzia leo kuwa siri ya kushinda
ni vitendo. Kwanini nimesema hivyo, nimesema hivyo ni kwa kuwa takwimu
zinaonyesha kuwa watu wengi sana wamekuwa au tumekuwa ni mabingwa wa kupanga
mipango mizuri, kuweka mikakati kabambe, kuweka malengo mazuri sana ambayo
ukiyasoma kwa kiasi kikubwa ni yanavutia sana tena sana, kiasi kwamba kila
ukiyasoma yanakuvutia na unayafurahia lakini wakati unafanya hivyo unasahau
kitu kimoja kwamba mipango tunayoiweka sio kwa ajili ya kuiweka kwenye
makaratasi au kwenye karatasi tu bali tunatakiwa kuifanyia kazi yaani tuweke
katika vitendo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kila kitu huanza kwa mpango, malengo na mikakati ambayo
mara nyingi sana huwa inakuwa imeandikwa kwenye karatasi, wengi tunaweza
kufanya hili jambo lakini jambo ambalo linatushinda ni kuhamisha yale yaliyomo
katika makaratasi au karatasi na kuyapeleka katika vitendo, hili ndio jambo
ambalo linatushinda kwa kiasi kikubwa sana na ndio maana tunashindwa kushinda (kufanikiwa).<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kama sio mtu wa kuchukua hatua ya kutenda kamwe sahau
kuhusu kushinda maana huto weza kushinda kamwe maishani, kushinda huja kutokana
na kuamua kuweka ile mipango tuliyojiwekea katika vindeo hivyo basi siri ya kushinda
ni vitendo. Unatakiwa kutenda na uendelee kutenda bila kuchoka, kuhairisha wala
kukata tamaa maana katika matendo ndimo huwa tunapata ushindi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mara nyingi tumekuwa tunashindwa kuchukua hatua ya
kutenda kutokana na sababu mbalimbali kama vile:-<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: Arial;">1.<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuhisi
uvivu pale tunapotaka kutenda</span></i></b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">, kama unakabiliwa na hii
hali basi jua kabisa hiyo hali sio nzuri kwako na inaweza kukuzuia wewe kutenda
jambo. Hivyo tambua kuwa hakuna matunda mazuri katika uvivu, yaani uvivu hauzai
matunda mazuri hata siku bali huzaa matunda mabovu hivyo uogope uvivu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: Arial;">2.<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Uoga</span></b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">, wakati mwingine
pale unapotaka kuchukua hatua ya kutenda unakabiriwa na hali ya kuogopa kuwa
watanichukuliaje au ntaonekanaje hali hii inaweza kukufanya usichukue hatua
yoyote na hivyo kujikuta umeshindwa kutenda na hatimaye unabaki pale pale.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: Arial;">3.<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hofu,</span></b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> wakati mwingine huwa
unakumbwa na hofu pale unapotaka kutenda jambo fulani. Hofu ya kushindwa, hofu
ya kuto kujulikana ni mifano wa hofu ambazo zinaweza kukuzuia wewe kuto tenda
jambo fulani. Kabiliana na hofu hizi mara moja.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hakika siri ya mafanikio/ kushinda ni
vitendo, kuweka malengo sio mafanikio ila kuyaweka malengo yako katika matendo
ndiko huleta mafanikio, kupanga mikakati, na mipango pia hakuleti mafanikio ila
kutenda. Hiyo ndio siri niliyopanga kukushirikisha leo hii, natumaini utakwenda
kushinda sasa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mwandishi: Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> :-barua <a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe -Bmaganga22@gmail.com</a>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-33499596871810219462016-03-23T07:04:00.003+03:002016-03-23T07:04:38.822+03:00Mambo Matatu Yanayoweza Kukufanya Usitimize Ndoto Yako.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kila mtu ana ndoto zake maishani hilo ni swala ambalo
naliamini maishani kuwa wewe una ndoto, yule anandoto zake na mimi ninazo za
kwangu ambazo kwa kiasi kikubwa sana zinatofautiana sana tena sana. Kwa kuwa
ndoto zetu zinatofautia hili ni jambo jema maana hili ndilo hupelekea hata sisi
kutofautiana kimaisha na kimatendo. Hivyo sio jambo baya kuwa na tofauti ya
ndoto kati yangu mimi na wewe na yule.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo nataka nikushirikishe mambo matatu ambayo yanaweza
kukufanya ushindwe kutimiza ndoto zako mambo hayo ni kama yafuhatayo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-esXxIM7isUs/VvIVsINXf2I/AAAAAAAAB5s/_Rw0ib52mtErqdMtRJelgi6gY_IXCr2bQ/s1600/images%2B%25282%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-esXxIM7isUs/VvIVsINXf2I/AAAAAAAAB5s/_Rw0ib52mtErqdMtRJelgi6gY_IXCr2bQ/s1600/images%2B%25282%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%; text-indent: -18pt;"><span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><b style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hofu</span></b><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%; text-indent: -18pt;">, ile hali ya kuwa na
wasiwasi mwingi juu ya lile unalotaka kulifanya inaweza kuwa adui mkubwa sana
wa ndoto zako. Najua kuwa unazifahamu aina nyingi sana za hofu, lakini mimi
nataka kugusia hofu ya aina moja tu ambayo ni hofu ya kuto kujulikana. Mara ngapi
umekuwa kila unapotaka kufanya jambo fulani unasikia ndani yako kuna sauti
inakuhamaasisha kuwa nani anakujua wewe hapa mjini nani?, ukisikia sauti hiyo
usijidanganye kusema ni malaika wa mungu anakusihi uache, hapana jua hiyo ni
hofu. Ni kweli hakuna anayekujua lakini hilo halikuzui wewe kuweza kutekeleza
jambo fulani. Kweli hawakujui kwa sababu hujajitambulisha kwao wewe ni nani. Sasa
pengine kupitia lile unalotaka kulifanya
ndilo linaloweza kukufanya ufanikiwe kwa kiasi kikubwa na hatimaye ukawa
umejitambulisha kuwa wewe ni nani na ukawa usha fahamikia tayari. Sasa kabiliana
na hii hofu tenda lile unaloliona ni sahihi na utajulikana tu. Hakuna aliyezaliwa
akiwa anajulikana.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: Arial;">2.<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kutaka kuanza na makubwa,</span></b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">umekuwa
ni mtu wa kutaka kusubiri eti mpaka uwe na kitu kikubwa ndio uweze kutenda
jambo fulani. Ndugu msomaji waswahili walisema “haba na haba hujaza kibaba”. Anza
na kidogo wala hata usiogope kuanza na kitu kidogo maana kidogo huzaa kikubwa
sasa wewe unaposubiri eti upate kikubwa ndipo utende huko ni kujidanganya na
kujipotezea muda na kuendelea kudumaza ndoto yako maana hakuna namna ambayo
unaweza kupata kitu kikubwa bila kupitia
kitu kidogo hivyo basi njia ya uhakika ya kukufanya wewe uweze kufanikisha
ndoto zako ni kuanza na kidogo siku zote. Hata kama ni biashara unataka kuwa na
biashara kubwa sana wewe anza na mtaji hata wa milioni mbili hata kama ndoto
yako ni kuwa na biashara ya milioni ishirini na hiyo milioni mbili baada ya
muda itajizalisha na kufikia hizo milioni ishirini unazozitaka. Hivyo nakusii
usiue ndoto yako kwa kutaka eti kuanza na kikubwa maishani bali wewe anza tu
pale unapohisi upo tayari na unachakuanzia hata kama ni kidogo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: Arial;">3.<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuto kuwa na maono sahihi</span></b><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">,
kama unataka kufanikiwa lazima uwe na maono. Maaono ni ile hali ambayo unaweza
kuwa unajionea mambo ya mbele kifikira zaidi. Mfano unajionaje wewe baada ya
miaka mitano toka leo. Kila mtu ana namna ambayo anajiona atakavyokuwa baaada
ya miaka mitano mwingine anaweza kujiona kuwa anakuwa mtu maarufu sana, anakuwa
mfanyakazi bora, mjasiriamali mkubwa n.k. hayo ndio maono. Sasa ikitokea huna
uwezo wa kuona ndani ya miaka mitano utakuaje basi hii ni njia moja wapo ya
kuweza kuua ndoto zako. Maono huwa kama tasirwa/picha mabayo unayaona maisha
yako kifikira zaidi. Na maono sio malengo hivyo usijichanganye niliposema labda
unajiona kuwa mfanyakazi bora baada ya miaka mitano ukajua ni malengo hapana
malengo na maono vinatofautiana. Ingawa maono yanategemea malengo yako na
malengo yako yanategemea maono yako. Hivyo basi hakikisha una maono sahihi
yaani unauwezo wa kujiona ndani ya miaka mitano utakuaje au utakuwa wapi
kimaisha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Mwandishi: Baraka Maganga.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Mawasiliano:-simu-0754612413/0652612410.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> :-barua <a href="mailto:pepe%20-Bmaganga22@gmail.com">pepe -Bmaganga22@gmail.com</a>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-36556285219703996082016-03-21T18:44:00.002+03:002016-03-22T15:48:03.656+03:00Jambo Hili Halitakusaidia Lolote Maishani.<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu mpendwa msomaji wa makala za mtandao huu, ni matumaini yangu
kuwa hu mzima na unandelea vizuri katika kupambana zaidi na zaidi ili tu
kuhakikisha kuwa unajiletea mafanikio ambayo umeyakusudia maishani. Nami nasema
vizuri na endelea kupambana zaidi na zaidi bila kuchoka kwani mafanikio ndio
kila kitu ambacho mtu anakitaka maishani hivyo ni haki yako wewe kupambana ili
kuhakikisha unayapata mafanikio.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-qHMgvnbCd30/VvAWsd1pwII/AAAAAAAAB5c/4PCHVZyxbDssVL8SS5oUkCeJMo5wWogAA/s1600/images.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-qHMgvnbCd30/VvAWsd1pwII/AAAAAAAAB5c/4PCHVZyxbDssVL8SS5oUkCeJMo5wWogAA/s1600/images.png" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ni wengi sana ambao tumekuwa tukipigana kwa hali na mali
katika kuhakikisha kuwa tunajiletea mafanikio, hili ni jambo ambalo huwa
tunalifanya wengi wetu na tumekuwa tukilifanya kwa muda mrefu. Ni vizuri
sana kufanya hivyo binafsi huwa
nafarijika sana napowakuta vijana wenzangu wanazungumzia mafanikio na
wanapambana ili kujiletea mafanikio kama unafanya hivyo naomba pokea pongezi
zangu. Hongera hongera sana.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo nataka kuzungumzia swala moja ambalo linaweza
kukufanya usifanikiwe na ndio maana kichwa cha makala hii kinasema jambo hili
halitakusaidia lolote. Jambo lenyewe ni kuwa na mtazamo hasi juu ya watu
waliofanikiwa. Nimeamua kulizungumzia hili kwa kuwa kumekuwa na baadhi ya watu
ambao wamekuwa na mtazamo mbovu juu ya watu waliofanikiwa mfano wanawachukia
watu waliofanikiwa, wanawaona kama ni watu wachoyo, wabinafsi, walaghai,
wanyanyasaji na wenye tamaa za pesa kuliko watu wengine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Pengine unasababu zako za kukufanya uwachukulie watu
wenye mafanikio kwa namna ambayo unawachukulia hivi sasa, lakini naomba
nikuambia haya kuwa kwanza pole sana kwa kuwatazama watu waliofanikiwa katika
mtazamo hasi, pili naomba nikuambie kuwa siujali ukubwa wala udogo wa sababu
inayokufanya wewe kuwachukia watu waliofanikiwa ila nachotaka kukuambia ni kuwa
unachofanya sio sahihi. Sio sahihi kwa sababu haupaswi kufanya hivyo badala
yake unatakiwa kuwachukulia watu walio fanikiwa kama darasa na waalimu wako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hakika kama unataka kufanikiwa hakikisha kuwa unajenga
uhusiano mzuri na walio fanikiwa na kubwa jenga mtazamo chanya juu yao. Waone kuwa
ni kama watu ambao ndio nyenzo muhimu ambazo unaweza kuzitumia na ukafanikisha
mambo yako kwa kiasi kikubwa. Ukiwachukia watu wenye mafanikio ni dhahiri kuwa
hata mafanikio nayo utayachukia, japo unaweza kujifariji kuwa mi nawachukia tu
wenye mafanikio ila mafanikio nayapenda huko ni kujidanganya kwa hali ya juu
yaani unahisi upo sahihi kwa mwonekano wa nje lakini ndani yake umejiharibia
kila kitu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wachukulie watu wenye mafanikio kama darasa kwako, wachukulie
kama watu ambao unaweza kuwa tumia kama daraja la kuweza kukuvusha wewe toka
hapo ulipo na kukupeleka kule unako kutaka. Ukiwa na mtazamo chanya juu ya watu
wenye mafanikio hii itakusaidia wewe
kuweza kuwafuata na kuweza kujifunza mambo mengi kutoka kwao tena kwa kiasi
kikubwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Jambo la msingi ambalo unatakiwa ulijue kuanzia sasa na
ulifahamu kwa asilimia zote ni kuwa mafanikio huja kwa kujifunza kutoka kwa
walio fanikiwa sasa kama unawachukia watu wenye mafanikio hii inamaanisha nini,
hii inamaanisha kuwa hutoweza kujifunza kutoka kwao, na kama ukishindwa
kujifunza kutoka kwao maana yake utajifunza kutoka kwa walioshindwa na kama
ukijufunza kutoka kwa walioshindwa basi na wewe utashindwa tu.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hakuna sababu ya kuwachukia waliofanikiwa bali jambo ambalo
wewe unatakiwa kufanya ni kuwapenda na kutaka kujifunza zaidi kutoka kwao, hii
ndio njia ambayo inaweza kukufanya wewe kuwa mwenye mafanikio makubwa kama wao.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Waweza wasiliana nami kwa nambari za simu</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">0754-61-24-13 au 0652-61-24-10.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Au kwa barua pepe</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Bmaganga22@gmail.com </span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-91254145296296614332016-02-24T20:01:00.000+03:002016-02-24T20:01:09.936+03:00Yatathimini Matumizi Yako Ya Pesa Kwa Umakini Kabla Hujasema Tatizo Mtaji<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-uTiTPZktzbM/Vs3htVESWrI/AAAAAAAAB3Y/oepNhg0UsUk/s1600/download%2B%252812%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-uTiTPZktzbM/Vs3htVESWrI/AAAAAAAAB3Y/oepNhg0UsUk/s1600/download%2B%252812%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu mpendwa msomaji wa makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri sana katika
kutekeleza majukumu yako ya hapa na pale, ni muhimu uendelee kufanya hivyo kwani
mapambano yanaendelea kwa kiasi kikubwa sana hivyo jambo la msingi ni
kuyaendeleza mapambano hayo kwa kasi ya ajabu ili kuweza kuyatekeleza yale
ambayo ni ya msingi na ambayo kwa upande mwingine ndiyo tumekuwa tukiyataka
maishani.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wakati ukiendelea kupambana ndugu mpendwa msomaji wa
makala hii hebu kwa dakika moja tu fikiria juu ya matumizi yako. Naposema
matumizi najua nakuwa na eleweka kwa kiasi kikubwa tu, matumizi nayo
yazungumzia hapa ni matumizi ya pesa. Nilipenda kichwa cha makala ya leo kiwe
mtaji sio tatizo lakini nimeamua kukiweka
kama kilivyo kwa kuwa ntakacholenga kukisema kitakuwa na uhusiano tu na
mtaji. Tumekuwa ni watu wa kulalamika sana juu ya mitaji, sana tena sana.
Lakini leo hii naomba tujadili na tuweze kuelewana kuwa mtaji sio tatizo bali
ni vichwa vyetu ndivyo vyenye matatizo. Hapa leo naongea na wafanyakazi uwe
mfanyakazi wa serikali au shirika binafsi naongea na wewe hapa leo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kwanini nataka niongee na wafanyakazi kwa kiasi kikubwa
ni kwa sababu ya vituko vya wafanyakazi, kila mtu leo hii anaamini kuwa
wafanyakazi mishahara yao haiwatoshi kwa kuwa wao ni walalamikaji wakubwa kuwa
mishahara haiwatoshi. Lakini mimi nataka kusema kuwa mishahara inawatosha.
Tutoke huko maana sio lengo la makala. Lengo la makala ni kutaka kuonyesha kuwa
mtaji sio tatizo kwa kupitia kuchunguza matumizi yetu ya pesa tunazozipata kama
mshahara wa shughuli zetu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wakati nikiwa kidato cha sita miaka michache huko nyuma
nilijifunza kutoka katika kitabu cha<b>
rich dad poor dad cha bw. Kiyosaki </b>tofauti kati ya asset na
liabilities. Kwa mujibu wa kiyosaki
anafafanua assets kama kitu ambacho kinachoingiza pesa mfukoni ili hali
liabilities ni kitu ambacho kinatoa pesa mfukoni. Hapo hapo rudi katika kichwa
cha makala, tathimini matumizi ya pesa zako, wewe pesa zako unazitumia katika
nini, je ni asset au liabilities? Jijibu mwenyewe. Kiyosaki aliendelea kusema
kama unataka kuwa tajiri nunua assets na kama unataka kuwa masikini nunua
liabilities. Hapo hapo turudi kwako huwa unanunua nini?. Rudi nyuma tena
jiulize kwanini mpaka leo hauna mtaji wa kuanza biashara au jambo jingine
tofauti na kazi yako hiyo. Tatizo mtajii eehe wenzio waliupataje huo mtaji sasa?.
Aya nakuambia hivi tatizo sio mtaji tatizo ni akili yako hiyo. Kama unataka
kujua kama mshaara wako unaweza kukupatia mtaji chunguza matumizi yako ya pesa.
Unatumia pesa nyingi sana kwenye liabilities ndio maana hauna mtaji. Kama
unabisha sawa ila huo ndio ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wafanyakazi wengi wanamtindo wa kununua vikolokolo ndio
maana hawapati mitaji, . naposema vikolokolo namaanisha kuwa vitu visivyo na
tija wala umuhimu bali katika hali ya kutaka kuuridhisha moyo, mwili au wenzio.
wewe huyo kila aina ya simu unataka uwe nayo, baba/mama utaweza kushindana wa
wachina kila siku wako na matoleo mapya. Kila uzinduzi wa albamu unataka uende,
kila tamasha la muziki wewe humo, kila fashioni mpya ya nguo humo, kila mkopo
unataka ukope alafu mkopo huo unataka ukanunue pikipiki ya kuendea kazini.
Pikipiki itakudai mafuta alafu utajikuta huna pesa. Kwa matuzimi ya namna hii
kweli mshahara haukutoshi na hauwezi kupata mtaji. Lakini ukipunguza mfano
ukawa na simu hata teckno p5 inatosha mbona nayo utaingia fb, whatsapp na
instrgram, pia makala zangu utasoma sasa yanini bwebwe nyingi za masimu kibao.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni muhimu kupendeza kimavazi lakini sio muhimu kuwa na
kila aina ya vazi. Ni muhimu kuwa na pikipiki lakini ujue ni assets au
liabilites. Ni muhimu kuuzulia matamasha na uzinduzi wa albamu za wasanii
uwapendao lakini sio wote. Jiulize kama kwa mwezi unatumia shilingi laki mbili
kutoka katika mshahara wako katika liabilities, ukiachana nazo mara mwaka
utakuwa hujapata mtaji wewe au unaleta habari gani hapa. Chemsha kichwa sio
kulalama tu. Think beyond.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Uwezo wa kupata mtaji kupitia mishahara yetu tunayo sema
shida ni akili zetu na vichwa vyetu. Unakopa mkopo unanunua jiko la gesi, sijui
sofa, sijui sabufa usiposikiliza mziki utakufa simu yako haina mziki? Kuwa na
nidhamu na pesa vinginevyo utaishia kulalamika mpaka siku yesu anarudi.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">“If you want to be rich buy
assets” ROBERT KIYOSAKI.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">“Mtaji sio tatizo tatizo ni
vichwa vyetu”.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Je unataka kujipatia kitabu
cha Robert kiyosaki ili kujifunza zaidi na zaidi usiwe na shaka.nitumie email
kupitia email yangu ya hapo chini na neno, “nataka kitabu cha rich </span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">dad poor
dad” nami ntakutumia.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-788339040677231562016-02-23T19:10:00.000+03:002016-02-23T19:10:00.645+03:00Utavuna Ulichopanda Na Huto Vuna Usichopanda.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-o6w1pJ_qLsE/VsyEN3pPY6I/AAAAAAAAB20/MaSQPpJmwIE/s1600/images%2B%252813%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-o6w1pJ_qLsE/VsyEN3pPY6I/AAAAAAAAB20/MaSQPpJmwIE/s1600/images%2B%252813%2529.jpg" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu mpenzi msomaji wa makala za
mtandao huu, mtandao ambao umelenga kukupatia maarifa ambayo ukiyatumia huta
kaa ujute kwanini uliamua kujiunga na mtandao huu ili uwe unasoma makala zake.
Ni matumaini yangu kuwa unaendelea vizuri sana katika mapambano nami nasema
mapambano yanaendelea na yataendelea.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ukipanda mahindi utavuna
mahindi.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ukipanda mtama utavuna mtama<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ukipanda matikiti utavuna
matikiti.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Usipopanda maharage hutovuna
vuna maharage.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Usipopanda mti hutovuna mti.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Usipopanda alizeti hutovuna
alizeti.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Nimeweka kauli hizo hapo juu lengo sio kukuchosha au
kukutaka uzisome tu na kuishia kuzishangaa hapana lengo la kuziweka kauli hizo
hapo juu ni kutaka uweze kunielewa toka mwako ambacho nakimaanisha maana hapa
nataka tuelewane kiurahisi zaidi pengine kuliko siku zote ndugu msomaji wa
makala hii. Kama kichwa kisemavyo kuwa utavuna ulichopanda na hutovuna
usichokipanda. Hivi nikikuuliza ndugu msomaji wa makala hii kuwa uonapo kauli
hii unajifikiria nini juu ya maisha yako. Yaani unaonaje juu ya matokeo
uyapatayo kutokana na shughuli zako?. Na uionapo kauli hii unahusianisha vipi
na ulalamishi au ulalamikaji wa watanzania wa leo. Binafsi naamini kuwa kama
watanzania tungekuwa wenye kuielewa kauli hii vizuri basi leo hii kusingalikuwa
na mtanzania anayekaa na kuanza kuilaumu serikali, wazazi, ndugu au walezi wake
kuwa wao ndio chanzo cha yeye kuto kufanikiwa. Kwanini nasema hivyo mimi nasema
hivyo kutokana na kauli ilivyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kauli inasema utavuna ulichopanda. Kwahiyo ukipanda
ulalamishi utavuna ulalamishi kwahiyo ni kuwa ukimlaumu mtu nae atakulaumu au
nawewe utalaumiwa na wengine. Kauli inasema utavuna ulichopanda na hautovuna
usichopanda hakuna sehemu ambayo imesema utavuna ulichopandiwa na hautovuna
ulichopandiwa hapa naweza kusema kauli hii haitambui jambo linaloitwa utegemezi
hivyo basi kama vijana wangekuwa wanaielewa vyema kauli hii wangeacha maswala
ya kuwategemea wazazi wao kwa kila kitu badala yake wangeanza kupanda mbegu Fulani
ambazo zingeweza kuwazalia matunda Fulani ambayo kwa siku za baadae
zingewaletea matokeo mazuri.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kauli hii pia inatukumbusha juu ya uwajibikaji nikiisoma
kauli hii nakumbuka juu ya uwajibikaji kuwa kila mtu anapaswa kuwajibika kwa
mafanikio yake na sio kumtegemea mtu akuletee mafanikio. Huwa tunakwepa
majukumu yetu kwa kiasi kikubwa sana, sasa kauli hii inatukumbusha juu ya
uwajibikaji juu ya maisha yetu. Utavuna ulichopanda maana yake unahusikia moja
kwa moja juu ya matokeo uyapatayo maishani. Kama wewe ni masikini mpaka sasa
tambua kuwa umepanda mbegu za umasikini na ndio maana uko masikini mpaka leo.
Hakuna mtu anayehusika na umasikini wako bali ni wewe mwenyewe ndiye
unayehusika nao maana ni mbegu ambazo umepanda wewe mwenyewe bila kumhusisha
mtu mwingine hivyo basi unawajibika kwa umasikini wako na sio vinginevyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kauli hii inanikumbusha juu ya ubora wa mbegu zetu yaani
kama unataka kupata matokeo bora ni
wakati sasa wa kupanda mbegu bora, maana si utavuna ulichopanda maana yake ni
kuwa mbegu bora huzaa mbegu bora na
mbaya huzaa mbaya nyenziye. Hivyo basi panda mbegu bora maana ndiyo ikufahayo. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Maishani tumekuwa tukikumbwa na mambo mengi sana na
tumekuwa watu wa kuwasakizia wengine kuwa ndio wahusika wa mambo hayo
yanayotutokea hata kama ni kwa kuwasingizia lakini huwa tunataka kuuaminisha
umma kuwa hali zetu mbaya ni matokeo ya watu au vitu fulani kumbe tunakuwa
tunajidanganya sasa jambo la msingi hapa ni kuwa kwa kuwa umegundua kuwa
utavuna ulichopanda hata ikitokea watu wanakushawishi uanze kulalamika juu ya jambo
fulani we achana nao maana ukweli wa mambo ushaujua.<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Uvivu huzaa uvivu.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Lawama huzaa lawama.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Visingizio huzaa vizingizio.<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Tamaa huzaa tamaa.n.k<o:p></o:p></span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></i></b></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-50397529838609215772016-02-22T09:20:00.001+03:002016-02-22T15:20:13.099+03:00Fanya Kitu Hiki Na Utafanikiwa Tu<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"></span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-uiUJvZ-xaxY/Vsqn67c7NQI/AAAAAAAAB2A/NtbTUfdel40/s1600/images%2B%25289%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-uiUJvZ-xaxY/Vsqn67c7NQI/AAAAAAAAB2A/NtbTUfdel40/s1600/images%2B%25289%2529.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu msomaji wa makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika kupambana</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">
kwakwo ili tu kuhakikisha kuwa unajiletea mafanikio makubwa maishani</span>Ni vyema ukashikiria
yale unayoyaona ni mema kuyafanya na ukayafanya bila kuchoka ili tu ujiletee
mafanikio makubwa maishani. Maisha ni mapambano, mafanikio ni mchakato
unaoandaliwa sio kitu kinachokuja tu bila kuelewa kimetoka wapi. Hivyo basi
pambana bila kuchoka.</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"></span><br />
<br />
<br />
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ikiwa unaendelea kupambana ndugu msomaji ni bora
ukatambua jambo hili moja nalo ni kuwa ulishawahi kuwaza juu ya kitu
kinachoitwa</span><br />
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> <b>kurudia/marudio</b>. Yaani
kama ulikuwa unafanya jambo ukajikuta unarirudia na kurirudia unajisikiaje? je
huwa unakuwa na hiyo tabia au huwa unachukulia kurudia kufanya jambo au
shughuli fulani ni kupoteza muda na kujichelewesha, kama huwa unawaza hivyo
basi acha kufanya hivyo mara moja maana unajidanganya na kama huwa unakuwa na
tabia ya kurudia kufanya jambo husika basi endelea kufanya hivyo maana upo
sahihi sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kwanini nimekuambia kuwa uwe na tabia ya kutaka kurudia
kufanya shughuli fulani au jambo fulani nimekuambia hivyo kwa sababu moja
muhimu nayo ni kuwa kurudia kufanya jambo fulani ndiko huleta mafanikio<b><i>.
Marudio ni mbolea ya mafanikio</i></b> kama hauelewi au ulikuwa haujui. Ndio
nakuona umeduwaa ila ukweli ndio huo kuwa marudio ni mbolea ya mafanikio.
Tafsri yake ni nini haswa hapa, hapa tafsiri yake ni kuwa yule mwenye tabia ya
kufanya jambo fulani kisha akaendelea kurirudia na kurirudia atakuwa na kuwa
mwenye mafanikio makubwa sana kuliko yule ambaye huwa hana tabia ya kurudia
kufanya jambo. Kama wewe ni mkulima au ulishawahi kujishughulisha na shughuli
za kilimo utajua tofauti iliyopo kati ya mmea uliowekewa mbolea na ule ambao
haukuwekewa mbolea. Sasa kama unazijua zile tofauti basi hata katika maisha
yetu sisi wanadamu inakuwa hivyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Chukulia mfano wa mtu anayejifunza kuendesha baiskeli
huwa anakuwa na wakati mgumu sana katika kutekeleza zoezi hili la kuendesha
baiskeli, lakini pamoja na ugumu huo ikiwemo kuanguka na kuumia lakini huwa
tunaendelea kurudia rudia hili zoezi la kujifunza baiskeli mpaka tunajikuta
sasa tumeshakuwa mafundi na mabingwa wa kuendesha baiskeli na kwetu inakuwa sio
shida tena. Hali sio hivyo tu katika baiskeli bali hata katika vyombo vya moto
kama vile gari, pikipiki, ndege na hata meli. Ujifunzaji huu hutawaliwa na
marudio kwa kiasi kikubwa sana kiasi kwamba uwingi wa marudio ndio uendana
sambamba na ufanikishaji wa jambo husika. Hapa ndio maana tunasema marudio ni
mbolea ya mafanikio.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wewe unayesoma makala hapa, ulijuaje kusoma, hebu jiulize
kwa dakika moja au mbili, ulijuaje kusoma au ulianzaje anzaje mpaka ukajua
kusoma?. Lazima kuna hatua za ujifunzaji ambazo ulipitia lakini katika hatua
hizo lazima marudio huwa muhimu sana, tulipokuwa watoto wadogo tulikuwa wenye
kutaka kujua kusoma na hapo ndipo tulipoanza kujifunza taratibu kuzitamka
irabu, na konsonati na baadae herufi, katika kujifunza utamkaji huu tulikuwa ni
watu wenye kurudia rudia kujifunza huko matokeo yake leo hii mimi na wewe
kusoma sio shida tena hii ni kutokana na sababu kuwa tulijijengea mazoea ya
kurudia rudia kile tulichojifunza mara kwa mara.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Sasa ajabu ni kuwa
leo hii tumekuwa hatutaki kurudia yale ambayo tumekuwa tukiyafanya na hii ni
baada ya kushindwa na matokeo yake ni kuwa tunajikuta kuwa sasa tuko katika
wakati mgumu kiasi kwamba sio rahisi kwetu sasa kuweza kufanikiwa kwa kuwa
tunapuuzia vitu vidogo kama hivi. Weka marudio kama kanuni yako ya kuelekea
mafanikio hata kama umeshindwa jambo fulani rudia rudia jambo husika na
mafanikio utayaona tu tena kwa kiasi kikubwa. Waingereza husema “practice makes
perfect” wanamafanikio tunasema marudio ni mbolea ya mafanikio. Hivyo basi
uamuzi ni wako kurudia tena kufanya jambo hata kama ulishindwa au kuacha
kurirudia hilo jambo huo ni uamuzi wako maana nilishakuonyesha kipi ni bora na
kipi sio. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> Ni mimi rafiki
yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-80977337061232439012016-02-16T09:43:00.000+03:002016-02-22T15:21:16.391+03:00Usifanye Kwa Kuwa Umeona Wanafanya.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"></span><br />
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></span>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-j9EQsgc6YM4/VsLEnGc62oI/AAAAAAAABx0/LF0sRVve-S0/s1600/download%2B%25286%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-j9EQsgc6YM4/VsLEnGc62oI/AAAAAAAABx0/LF0sRVve-S0/s1600/download%2B%25286%2529.jpg" /></a></span></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></span>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></span>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></span>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Umekuwa ukitaka kufanya jambo au mambo mbalimbali
maishani au umekuwa ukitaka kufanya mambo mbalimbali. Lakini wakati</span></span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> hujafanya
jambo husika ni muhimu ukajiuliza kwa nini unafanya au unataka kufanya. Mara
nyingi sana watu wamekuwa wakifanya vitu kwa kukurupuka sana yaani wao hufanya
tu kwa sababu wameona mtu fulani anafanya kile kitu. Maisha hayahitaji maswala
ya kukurupuka. Yaani usiwe mtu wa kukurupuka na kuona kuwa hili linawezekana
bali kuwa na mipango katika mambo yako.<br />
<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"></span><br />
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo hii ukizungumzia biashara, biashara nyingi sana
zinakufa kwa sababu watu wanakurupuka yaani mtu anatoka huko bila hata kufanya
uchunguzi wa biashara husika na kujilizisha ndipo aianze ila yeye anakurupuka
na kuanza tu biashara. Huko nyuma nilishawahi kuonya juu ya kufanya biashara
sababu inalipa nikasisitiza kuwa kabla hujafanya biashara fanya uchuguzi juu ya
upatikianaji wa bidhaa, usafirishaji wake, pamoja na gharama za usafirishaji na
vile vile swala la soko yaani ni vipi bidhaa yako inauzika na ni wapi zaidi
bidhaa yako inaweza kuuzika kiurahisi kuliko sehemu nyingine. Hayo ndio baadhi
ya mambo ambayo biashara inahitaji, usiwe mtu wa kukurupuka na kuingia katika
biashara bila hata uchunguzi wowote ule.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo hii kila mtu utasikia nataka kuwa mjasiriamali lakini
chunguza kati ya hao wanaosema wanataka kuwa wajasiriamali ni wangapi
wanafanikiwa. Leo hii mtu akimwendea mjasiriamali aliyefanikiwa kuwa ulianzaje
anzaje mpaka ukafika hapo, labda akajibiwa kuwa nilikuwa mwajiriwa na baadae
niliacha kazi na kujiiingiza katika ujasiriamali rasmi. Kwa kuwa amejibiwa
hivyo aendelei kuuliza zaidi ili apate taarifa zaidi na zaidi lakini kwa kuwa yeye
ni mkurupukaji basi anabeba wazo kuwa ili niwe mjasiriamali lazima niache kazi,
ndugu yangu, ndugu yangu kuwa makini sana tena sana maana ujasiriamali sio
kuacha kazi tu na hapo hapo unakuwa mjasiriamali. Unapotaka kuwa mjasiriamali
fanya uchunguzi wa kutosha maana taarifa moja haikutoshi kuna mambo unahitaji
kuwa nayo ili kuwa mjasiriamali bora na sio vinginevyo hivyo basi kuwa makini
usiwe mkurupukaji wa mambo na kuanza tu pasipo uchunguzi</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Njoo katika ndoa za siku hizi, leo hii kuna ndoa nyingi
sana zinafungwa kweli kweli, tena kwa bwebwe nyingi sana tena sana lakini
chunguza katika ndoa hizo zinazofungwa leo hii au siku hizi ni ngapi zinadumu?.
Utagundua kuwa ni chache sana na kama ukitaka kwenda mbele zaidi kuwa kwanini
hazidumu ni kwasababu wanaofunga ndoa hizi wengi wanakurupuka tu na kufunga ndoa hizo. Leo hii watu wanaoa
au kuolewa tu kwa sababu wameona wengine wanafanya hivyo au kwa sababu baba
alioa na mama nae aliolewa na baba basi nami lazima nioe au niolewe, watu hawa
huwa wanafanya hivyo bila hata kuangalia ndoa hizi zilifungwa katika mazingira
gani na waliofunga ndoa hizo walijipanga vipi mpaka kuzikamilisha hakuna hilo
wao huamua tu kufunga ndoa husika bila hata kufanya tathimini ya kutosha sasa
huku ni kukurupuka kwa kiwango cha juu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kimsingi maishani huitaji kukurupuka na kufanya mambo ya
ajabu ajabu au maamuzi ya ajabu ajabu bali inatakiwa ufanye uchunguzi wa hali
ya juu ukijiridhisha na hapo ndipo ufanye hilo unalotaka kulifanya na sio unatoka
tu huko kisa umeona jambo fulani linafanyika basi nawe unalifanya bila
uchunguzi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-57450106696651316832016-02-15T19:16:00.002+03:002016-02-22T15:21:38.170+03:00Jifunze Na Jua Kwamba Kuna Muda Unatakiwa Kusema Hapana.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-9tJyveroVYk/VsH51U5btOI/AAAAAAAABxU/Dh55WeXJ7jQ/s1600/download%2B%25289%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://4.bp.blogspot.com/-9tJyveroVYk/VsH51U5btOI/AAAAAAAABxU/Dh55WeXJ7jQ/s1600/download%2B%25289%2529.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu mpendwa msomaji wa makala za
mtandao huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima wa afya na unaendelea vizuri</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> kwa
kiasi kikubwa sana. Ni matumaini yangu kuwa unaendelea kupambana ilivyo katika
kuhakikisha kuwa unatekeleza malengo yako kwa kiwango kikubwa zaidi nami
nikusihi kuwa endelea kupambana maana ni muhimu ukayatimiza malengo yako na
hapo ndio utaona maana ya kuishi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Je ulishawahi waza juu ya umuhimu wa kusema hapana?
Nataka nikuambie ndugu msomaji wa makala hii kuwa kuna muda unatakiwa useme
hapana katika maisha yako kama ulikuwa huna tabia hii basi anza kujifunza
kwanzia leo kuwa unahitaji kusema hapana muda mwingine usiwe mtu wa ndio kwa
kila jambo bali tambua kuwa kuna mazingira unahitajika kusema hapana katika
maisha yako. Lazima uishi huku ukiamini kuwa kuna wakati unahitajika kusema
hapana tena kwa nguvu zako zote sema hapana hapana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuna wakati itafika utakuwa unafanya jambo fulani mara
ukapatwa na hali fulani ya kutaka <b>kukata
tamaa,</b> sasa ukijikuta umeanza kufanya jambo fulani alafu ukaijiwa na halli
fulani ya kutaka kukata tamaa hapa ndipo sasa unatakiwa useme hapana, hapana
sito kata tamaa. Na utakaposema hapana utajikuta unaendelea kutenda zaidi na
unapata matokeo uliyokusudia. Kuna stori ya jamaa mmoja ambaye alishindwa
kulitunza shamba lake na hivyo kutokana na sababu zake kadha wa kadha wazo la
kuliuza likamwijia na kwa kuwa alishindwa kujizuia kusema hapana akajikuta
ameuza kumbe shamba lile aliloliuza lilikuwa na madini ya kutosha na aliyenunua
akawa billionea. Hivyo unapohisi unataka kukata tamaa sema hapana na endelea
mpaka upate matokeo uliyokusidia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuna wakati unajikuta unafanya mambo kisa umeambiwa na
watu ambao wanakuzidi umri mfano kaka yako, baba, mama, au dada, bibi au babu.
Sisemi kuwa uwapinge ila nachotaka kukuambia kuwa wakati mwingine unatakiwa
kusema hapana kwao maana mitazamo yao inaweza kuwa hasi yenye kukuangamiza
lakini wewe ukaamua kuifuata na kuishi nayo. Mfano ndugu zako wanakuambia kuwa
si unaona sisi ni masikini hivyo katika ukoo wetu hakuna anayeweza kuwa tajiri
wewe sema hapana mimi naweza kuwa tajiri usikubali kila kitu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Njoo kwenye mahusiano ni mara ngapi watu wamekuwa
wakifanya mambo ya ajabu tena ya kipuuzi na yasiyo na maana ili tu kuwaridhisha
wapenzi wao. Watu wako tayari kuwadharau hata wazazi wao kuwasaliti ndugu zao
kisa wapenzi wao na hii ni katika kuwaridhisha tu wapenzi wao na kuonyesha kuwa
wanawajali au kama njia ya kulinda mahusiano yao, mfano mpenzi wako wa kiume
anakuambia toroka kwenu leo usiku uje kwangu wakati wewe unajua kuna hatari ya
wewe kushitukiwa hata kabla ujatekeleza hilo jambo, jifunze kusema hapana kwa
mpenzi wako muda mwingine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Marafiki wanakushawishi kunywa pombe ili hali wewe unajua
pombe ni mbaya na madhara yake mengi unayajua lakini eti kisa kuwaridhisha
rafiki zako unakubali kunywa pombe na hatimaye kuwa mlevi wa kupindukia na
kujikuta unakuwa na maisha mabovu kisa ulevi wako huo, kwanini hausemi hapana
kwa rafiki yako, jifunze kusema hapana
kwa marafiki wenye kukushawishi wewe kufanya mambo usiyoyataka kwa kiwango
kikubwa usihofie kuvunja nao mahusiano.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kusema hapana sio utovu wa nidhamu na wala sikufundishi
wewe kuwa mtovu wa nidhamu bali nataka uwe na uwazi na ukweli wa kusema hapana
wakati mwingine sio unakubali kubali kupelekwa na watu au hali fulani ya
kimaisha au mwili wako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-76936855250199164672016-02-13T07:20:00.001+03:002016-02-22T15:21:58.723+03:00Mambo Sita (6) Ambayo Sio Msaada Katika Kutatua Changamoto Zetu Lakini Tunayafanya.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-LSWXZzB8sqg/Vr6u-FTSUFI/AAAAAAAABw8/DqYgY2LqlxI/s1600/download%2B%25285%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/-LSWXZzB8sqg/Vr6u-FTSUFI/AAAAAAAABw8/DqYgY2LqlxI/s1600/download%2B%25285%2529.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Maisha ni mapambano, ni mapambano dhidi ya changamoto
ambazo huibuka kila leo na hatuna budi kuweza kukabiliana na changamoto husika
</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">maana sisi ndio wanajeshi ambao tumejitolea kupambana na adui changamoto ili
tuweze kutetea nchi yetu na kushindwa kupambana na adui changamoto kunamaanisha
kuwa nchi yetu itavamiwa na tutakuwa mateka wa jumla wa adui yetu mkubwa. Hapa neno
nchi yetu limetumika kuwakilisha maisha yetu na mateka wa jumla limetumika kama
kuwa masikini. Naamu kushindwa kupambana na changamoto ni kujitakia umasikini.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Tumekuwa tukikumbwa na changamoto mabalimbali na uwezo wa
kupambana na changamoto unabaki kwetu, kila mtu amekuwa na namna yake ya kuweza
kupambana na changamoto ambayo ama kwa nafsi yake huiona kuwa inafaa, lakini
hapa nakuletea njia sita ambazo sio msaada katika kupambana na changamoto hata
kama unazitumiaga na unaona zinafaa lakini changamoto hubaki pale pale. Endelea
kusoma<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">1.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Lawama</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">, hii kwangu ni njia
namba moja ambayo tumekuwa tukiitumia wengi wetu, na wengi wetu huamini kuwa
hii ndio njia sahihi ya kupambana na changamoto zinapotukabili. Lakini leo
nakuambia hii ni njia moja mbaya tena ni namba moja katika ubaya kama kweli
unapambana changamoto. Haifai haifai nakusihi acha acha acha mara moja. Hebu
chukulia wewe ulikuwa mwanafunzi uliye maliza kidato cha nne na baada ya
matokeo kuja unajikuta umefeli vibaya, lakini kuna uwezekano wa wewe kurudia
tena mtihani na ukasonga mbele lakini wewe hulioni hilo badala yake unakaa na
kuanza kuwalaumu waalimu kuwa hawakufundisha vizuri. Nakuuliza hivi kumlaumu
mwalimu kuwa hakukufundisha vizuri kunakusaidia nini? Je kunabadilisha
matokeo?. Umefukuzwa kazi unaanza kumlaumu bosi wakati makosa ni yako, je
kumlaumu bosi kunakurudisha kazini wewe?<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">2.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Visingizio,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
namba mbili kwa mujibu wangu katika njia za kukabiliana na changamoto. Utakuta
mtu ni masikini ananza kusingizia ooh mimi niko hivi kwasababu sikusoma, oo
wazazi wangu waliishi kijijini, ooh kwetu hatunaga bahati ya kufanikiwa. Mbona
unapoteza muda wao ovyo kuongelea mambo
ambayo hayana uhusianao na umasikini wako. Na je kusingizia huko sasa
kumekufanya kuwa tajiri sasa?. Acha visingizio wewe ndiye chanzo wa kila kitu
nenda katafute ufumbuzi sio kusingizia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">3.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kulia,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> nakuona unalia eti
kisa unachangamoto fulani. Nani alikuambia kulia kunatatua changamoto. Kama
unaamini ukilia unatatua changamoto vizuri sana ila nakuambia unajidanganya.
Hebu chukulia mfano unanjaa, njaa imekuuma sana. Njia yako ya kukabiliana na
changamoto si kulia anza kulia sasa kama njaa itaisha. Njaa inatibiwa kwa
kutafuta msosi sio kulia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">4.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kufikiri kujinyonga,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
haya ndio mawazo mfu kabisa, umesalitiwa na mpenzi wako eti unataka kujinyoga,
hivi umeiona hiyo ndiyo njia rahisi sana. Hivi ukijinyonga ndio unakuwa
umetatua changamoto au. Aya kama unasema ni sahihi sasa nakuuliza kama kila mtu
angekuwa anakabiliwa na changamoto fulani na anaamua kujinyonga basi dunia hii
ingekuwepo miti tu maana hakuna mtu ambaye hapitiwi na changamoto fulani za
kimaisha. Acha kufikiri kujinyonga sasa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">5.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuhairisha jambo husika,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">ukiona
unafanya jambo fulani ukakumbana na ugumu unakimbilia kuacha au kuhairisha
jambo husika, je umeona hiyo ndio njia sahihi sio. Kwahiyo ukihairisha maana
yake utafanya baadae au ukiacha kabisa unakuwa umemamaanisha kuwa utakuwa
umetatua changamoto hiyo?. Huko ni kukimbia majukumu tabia ambayo ni mbovu
sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">6.<span style="font-family: "times new roman"; font-size: 7pt; font-stretch: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kwenda kuombewa ikiwa huna imani kuwa
itakusaidia,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> umepigika unajikuta sasa ngoja niende kwa
watumishi nikajaribu kama wanaweza kunisaidia kutatua changamoto hii lakini
sina imani kama wataweza maana, sasa kama huna imani na kitu kwanini ukifanye
sasa, mi naona bora ungeacha kufanya jambo husika. Maana unapoteza muda wako
bure na hautofanikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hizo ni njia sita ambazo hautakiwi
kuzifuata ewe mwanamafanikio pindi unapokuwa umekabiliwa na changamoto, lakini
kinyume chake ndio jibu mfano badala ya kulaumu wewe usifanye hivyo badala yake
tafuta njia nyingine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoListParagraph">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-55846643281822234452016-02-12T19:47:00.000+03:002016-02-22T15:22:33.170+03:00Watu Sahihi, Taarifa Sahihi Tunaenda Mbele.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-HwdO-298STA/Vr4MWjDjZcI/AAAAAAAABwM/bfTf9c95L-8/s1600/download%2B%25283%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://1.bp.blogspot.com/-HwdO-298STA/Vr4MWjDjZcI/AAAAAAAABwM/bfTf9c95L-8/s1600/download%2B%25283%2529.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kumekuwa na tatizo moja kwa sasa ambalo limekuwa
likitusumbua kwa kiasi kikubwa sana na tatizo hili limekuwa likitugharimu wengi
sana na kujikuta</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> tumepoteza muda mrefu sana katika kufikia hatua fulani ambayo
tulikuwa tukitaka kuifikia. Tunaishi katika dunia ya taarifa (information age),
yaani katika dunia ya saizi ni kuwa taarifa fulani ambayo wewe unaijua ambayo
mwingine haijui inaweka tofauti kati yako na mtu mwingine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<span style="font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Sasa leo hii nimekuja kukupa kitu kimoja kuwa unajua kuwa
huwezi kupata taarifa sahihi ikiwa hautopata mtu sahihi wa kukupatia taarifa hizo.
Umekuwa ukihangaika sana katika kupata taarifa fulani ambayo itakusaidia lakini
cha ajabu ni kuwa haupati na wengine hujikuta wanatapeliwa katika kutafuta
taarifa hizi. Usipo jua kutafuta taarifa katika dunia ya sasa utakuwa upo nyuma
sana na unaweza kujikuta haufanikiwi kabisa maishani </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">mwako.ukimtafuta mtu asiye
sahihi utapata taarifa ambazo zimejaa kubashiri kwingi na ni wazi kuwa taarifa
hizi haziwezi kukufanya ukasonga mbele zaidi ni kuwa utabaki pale pale au
kurudi nyuma. Sasa nataka hapa nipinge ile tabia ya kujifanya tunatumia uzoefu
kwa mambo ya kitaalamu na hapa nataka kusema kuwa kazi ya kitaalamu ifanywe na
mtaalamu sio mzoefu, ulishawahi kuwaza kutafuta au kupata ushauri wa kitaalamu,
hili ndilo nalotaka kuzungumzia kuwa jitahidi kutafuta wataalamu kwa kila
linalokukabili.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Umehangaika na sasa umeona kuwa katika kilimo kuna fursa
sasa ni wakati sahihi wa kuwatafuta wataalamu wa kilimo ili uweze kupata
taarifa sahihi juu ya kilimo husika. Kilimo ni neno la jumla sana huwezi kusema
mimi najishughulisha na kilimo bali inabidi ufafanue kuwa kilimo cha zao gani
husika mfano umeamua kulima nyanya, mahindi, maharagwe, pilipili hoho au
vitunguu ni muhimu ukawatafuta wataalamu wa zao husika ili uweze kupata ushauri
wa kitaalamu na sio kila ukimkuta mkulima analima vitunguu unaanza kupapalika
nawe ni vizuri kumuuliza sawa huyo mkulima wa vitunguu lakini nenda hatua zaidi
na upate ushauri wa kitaalamu ambao utakupeleka mbele.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Unamatatizo ya kifamilia ua ndoa, ni muhimu ukaenda
kuwaona watu waliosoma maswala ya kimahusiano au wanasaikolojia ambao
watakusaidia katika mahusiano sio kwenda kuyaanika matatizo yako ya kifamilia
kijiweni ambayo huko wanaweza kukupatia ushauri ambao ni wa kubomoa na wala sio
ule wenye kukujenga na kukufanya uweze kusonga mbele kimaisha. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Una matatizo ya kiafya ni muhimu sasa uweze kutafuta
mtaalamu wa matatizo ya kiafya ili uweze kutatua matatizo yako na sio kwenda
kwa kila mtu na kuweza kuhangaika hangaikua huku na huku uku ukiomba ushauri wa
mambo ya kiafya ambayo wengine wanaweza kuwa na taarifa fupi tu au maelezo
machache tu juu ya mambo ya kiafya. Nenda kwa madaktari ukaombe ushauri na sio
kuishi kwa mazoea maana hizi sio zama zake.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni muhimu ukatambua kuanzia leo kuwa kitakachokufanya
uweze kufanikiwa sio kingine balli ni pamoja na taarifa sahihi ambazo utakuwa
ukizipata kutoka kwa watu sahihi mfano ukipata taarifa sahihi kuhusu fursa fulani
tayari utakuwa umepiga hatua moja zaidi kuelekea mafanikio. Kumbuka pia hatupo
katika zama za kati za mawe ambapo watu walihishi kwa mazoea sio wakati wake
leo hii kinachohitajika ni taarifa na sio taarifa bora taarifa, bali ni taarifa
sahihi ambazo nazo hazipatikana kwa kila mtu bali wa sahihi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Naomba nikusisitizie kuwa sio kuwa wataalamu pekee ndio
wa kuwafuata na kuwaomba taarifa sahihi lakini ni bora ukaelewa kuwa kuna
baadhi ya mambo ambayo wataalamu wananafasi kubwa sana lakini pia kwa mfano
katika maswala ya kilimo unaweza kwenda kwa mkulima mwenye mafanikio ambaye
huyu sio mkulima pekee bali ni mtaalamu pia na ukapata taarifa sahihi kwa mtu
sahihi. Tafuta taarifa tafuta taarifa kwa mtu sahihi kwa mtu sahihi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-85187515437496111762016-02-11T15:12:00.002+03:002016-02-22T15:23:02.773+03:00Usiishi Ni Kama Hakuna Maisha Tena.<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/--D-Giyt8tO8/Vrx6hBxmwDI/AAAAAAAABv4/xFdv7vrHetM/s1600/images.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://3.bp.blogspot.com/--D-Giyt8tO8/Vrx6hBxmwDI/AAAAAAAABv4/xFdv7vrHetM/s1600/images.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Katika maisha yetu sisi wanadamu tumekuwa tukiishi na
watu wa aina tofauti tofauti kitabia, kimaumbile na kihali mbalimbali. Yote
haya ni maisha tu</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> na tunaendelea kuishi katika hali hizi hata kama ikitokea
kuwa zinatuletea shida lakini huwa tunajitahidi sana kukabiliana nazo ili tu
kutaka kuhakikisha kuwa mambo yanaenda sawa. Haya ndio maisha yetu na huu ndio
uhalisia wa maisha yetu yaani hatuwezi kufanana kwa kila kitu maishani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo sasa nataka kukutahadharisha ndugu msomaji wa makala
hii kuwa usihishi ni kama hakuna maisha tena, hapa nacho maanisha ni kuwa
usihiishi ni kama leo ndio mwisho wako wa kuishi. Binadamu tunaishi tukiwa na
matumaini kuwa kesho tutafika hilo ni jambo jema sana kwetu kwa kuwa na imani
kuwa kesho tutaiona na ndio maana huwa tunajiwekea malengo ya siku, wiki,
mwezi, nusu mwaka na hatimaye tunaweka malengo ya mwaka na hatimaye miaka. Haya ni mambo ambayo wanadamu tumekuwa
tukiyafanya mara kwa mara na kila siku aidha kwa kujua au kuto kujua ila ni
dhahiri kuwa huwa tunayafanya mambo haya.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo nataka nikuonye na kukutaadharisha wewe unayeishi ni
kama kesho haitafika yaani unaishi ni kama unakufa leo. Kuna watu wanatabia hii
usinishangae ni kama naongea mambo ambayo hayapo na kama bado hujanipata
endelea kusoma utanielewa tu. Kuna baadhi ya matendo ambayo unaweza kuyatenda
na hatimaye tafsiri yake ikawa ni kuwa unaishi ni kama hakuna maisha tena au ni
kama kesho haifiki matendo hayo ni kama yafuatayo:-<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuto
kuweka akiba</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">, kuna watu wanaishi pasipo kuweka akiba
maishani mwao yaani yeye kwa kila pesa anayoipata au kitu anachokipata ana tumia
chote bila kujua kesho itakuwaje. Maishani ni muhimu kujiwekea akiba, kama
unatokea kwenye familia za wakulima utakuwa unaelewa fika sana maana ya kuweka
akiba, mkulima baada ya mavuno lazima ataweka akiba ya chakula, nyingine kwa
ajili ya kuuza na mgawanyo utaweza kuendelea. Kwanini mkulima huyu anaweka
akiba ya chakula na hasemi tutumie mazao
yote?, ni kwasababu anajua kuwa kesho ipo ndio maana anaweka. Wewe ni
mfanyakazi ukipata mshahara unatumia wote kiasi kwamba hata ukipata ugonjwa
huwezi kujitibu hii ni hatari sana kwa maisha yako. Jifunze kuweka akiba maana
itakusaidia hapo baadae. Weka akiba usitumie kila kitu ni kama unakufa leo leo.
Wakati nikiwa mtoto mdogo niliwahi kusimliwa na mzee mmoja kuwa kuna mtu baada
ya mavuno ya mahindi yake, alikula chakula akashiba na hatimae akahisi kuwa
kutokana na alivyoshiba hana haja ya kula tena maishani, hatimaye akaamua
kuchoma kihenge chake, lakini kilichomkuta ni kuwa kabla hata kihenge kile
hakijaisha njaa tayari ilikuwa ishamuuma sana. Na hakuweza kupata tena chakula.
Yeye alihisi maisha yanaishia pale ila maisha yaliendelea. Wakati ule nikiwa mtoto
stori hii ilikuwa ya kufurahisha tu lakini leo ina funzo kuwa ni muhimu
kujiwekea akiba maishani usihishi ni kama kesho haipo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kuwadhurumu
watu</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">,
kuna watu ni maarufu wa tabia hii lakini wewe unayefanya hivi tambua kuwa sio
kila siku utadhurumu alafu unaweza kuwa ulishawahi kuwadhurumu watu wako wa
karibu na hatimaye ukawa umepoteza uaminifu kwa ndugu zako hao na hatimaye hata
siku ukija kupata shida wakashindwa kukusaidia kitu kutokana na tabia yako ya
kuwadhulumu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Kusema
uongo,</span></b><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"> watu wenye tabia hii nao wanaingia hapa katika wale
wanaoishi ni kama kesho haipo, hawa huendelea na tabia yao ya kudanganya lakini
wakishazoeleka watu hupoteza uaminifu kabisa kwao, kuna stori moja juu ya
kijana mmoja ambaye alikuwa mchugaji wa mbuzi katika kijiji kimoja ambacho
kilikuwa jirani na mbuga za wanyama, kijana huyu alizoea kuwadanganya
wanakijiji kwa kupiga kelele za chui kutaka kuwashambulia mbuzi wake hivyo
kelele zake zilikuwa ni zile za kuhitaji msaada lakini mara kwa mara wanakijiji
walipofika walikuta hakuna chui na kijana huyo alikuwa akiwacheka wanakijiji
hao na kujiona mjanja hivyo wanakijiji walizoea kuwa huwa anasema uongo. Siku
ya siku alipiga kelele kumbe siku hiyo chui alikuja kweli na kutokana na uongo
wake kuzoeleka hakuna mwanakijiji aliyekuja kumsaidia na hatimaye mbuzi wake
wakaliwa na chui. Hii ni kwa kuwa alijenga mazoea ya kuwadanganya wanakijiji,
kijana huyu aliishi ni kama hakuna kesho. Alihisi uongo wake utaendelea kila
siku lakini kumbe haikuwa hivyo maana siku hiyo chui alitokea na asijue cha
kufanya.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Usipende kufanya mambo ni kama unakufa leo au ni kama yesu
anarudi leo na kuja kuwachukua watu wake bali ishi huku ukiwaza kuwa kesho ipo
hivyo ujinga, uongo, uzembe na kitu chochote kisicho na maana kinaweza
kukuletea shida kesho na ukashindwa kutatua au ukajikuta upo matatani kutokana
na kuishi ni kama maisha yanaishi leo
leo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8508544430393683452.post-33491346871521099232016-02-10T13:14:00.002+03:002016-02-22T15:23:34.610+03:00Fahamu Kuwa Kila Kitu Huanza Na Wewe.<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-dq0lmZt4DnY/VrsNXSO9OTI/AAAAAAAABvM/1iatpBVYTzI/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://2.bp.blogspot.com/-dq0lmZt4DnY/VrsNXSO9OTI/AAAAAAAABvM/1iatpBVYTzI/s1600/download.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Habari za wakati huu ndugu mpendwa msomaji wa makala za
mtandao huu. Ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaednelea vizuri katika</span><br />
<a name='more'></a><span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">
kuhakikisha kuwa unapambana na hatimaye kujiletea mafanikio makubwa maishani
mwako. Nami nasema pambana mpaka utakapo hakikisha kuwa yale uliyokuwa
unayataka umeyafanikisha kwa kiwango ambacho ulikikusudia na kama bado we
endelea kupambana. Baada ya kimya cha muda mfupi kutokana na majulumu
kuingiliana kwa kiasi kikubwa naomba tuendelee katika kuelimishana kwetu kama
kawaida yetu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kama kichwa cha makala hii kinavyosomeka kuwa kila kitu
huanza na sisi basi natumaini umesha anza kufikiri kitu juu ya kichwa hiki.
Kabla sijaingia ndani zaidi na kuanza kudadafua nayo taka kuyasema naomba uache
kwa muda mfupi kusoma makala hii na utamke kauli hii mara kumi sema hivi </span><b style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><i>”kila
kitu huanza na mimi”.</i></b><span style="font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 115%;"> Naam kila kitu huanza na wewe. Hakikisha unatamka
kauli hii mara kumi ndipo uendelee na kusoma makala hii.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Tumekuwa ni watu wenye kulalama sana juu ya matatizo au
hali zetu utasikia tukijisemea kuwa <b><i>sina amani siku hizi , sina raha kabisa mimi
jamani, mimi masikini, mimi sina hela, mimi sina akili n.k</i>.</b> kiujumla
kuna rundo la kauli ambazo huwa tunazitumia mara kwa mara na si vyema mimi
kuziorodhoshe zote bali nimekupatia mifano ya kauli hizo ili upate kutambua
kauli zingine zenye kufanana na hizo. Sasa ni vyema utambue kuwa kwa kila
linalokutokea au hali uliyokuwa nayo ni wewe ndiye mwanzilishi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Unakosa furaha maishani na kwa kiasi kikubwa unaanza
kulaumu kuwa sina raha, tukikuuliza nani anakufanya usiwe na furaha utaanza
kutaja watu au vitu vingine. Sasa leo nakuambia na naomba unielewe kuwa hakuna
mtu anayeweza kukukosesha raha maishani mwako. Kuna kauli kama mbili ambazo
nilishawahi kuzisikia alafu nikazitathimini na kugundua kuwa kweli kila kitu
huanza na sisi. Kauli ya kwanza ni ile yenye kusema <b>“ukweli hauwezi kuwa ukweli mpaka pale ambapo utaukubali au tutaukubali
kuwa ukweli”</b> na kauli ya pili ni ile yenye kusema kuwa <b>“hakuna mtu anayeweza kukusumbua hata kidogo kama wewe hujamruhusu akusumbue”</b>
hivyo basi kama unakosa furaha basi ni wewe mwenyewe ndiye uliyeruhusu hali hii
ya kukosa furaha na sio wengine au vingine.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Hamasa huanza na wewe na wala sio wengine, ni kweli kuwa
katika dunia ya leo kuna wahamasishaji wengi sana tena sana ambao ukiwasikiliza
kweli wanahamasisha sana, kwa hapa Tanzania nikichukulia mfano wapo watu kama
kina Erick shigongo, james mwangamba, Paulo mashauri n.k. wote hawa
wanahamasisha lakini hamasa zao haziwezi kufanya kitu kama wewe hujazikubali
hivyo basi hamasa huanza na wewe na sio wengine. Wengine hutoa hamasa na
unapozikubali wewe ndipo hujidhihirisha sasa kuwa hamasa kwako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Umasikini huanza na wewe, hili ni kweli kabisa maana kuna
watu wanasingizia sijui mimi nimezaliwa katika familia masikini oo sijui sina
bahati na porojo nyingi sana mfululizo lakini zote hizo hazikusaidi bali ndio
zinazidi kukuangamiza na kukufanya uwe masikini zaidi na zaidi. Sasa kama
unasingizia nani aliyeleta hivyo visingizio kama sio wewe. Hivyo basi umasikini
umeanza na wewe maana badala ya kuwaza utafanyaje ili uepukane na umasikini
wako wewe umeanza kulaumu sasa lawama zimekufanya uzidi kuwa masikini na sasa
unataka utoke huko lakini umesahau kuwa wewe ndiye uliyejipeleka huko.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Leo hii kwa kuwa umegundua kuwa kila hali na kila jambo
hapa duniani linalokukabili huanza labda kutokana na ama uzembe wako katika
eneo lako Fulani la kimaisha, kujisahau, kuto kujua au uvivu sasa ni wakati wa
kuamuka na kutaka kutenda zaidi na zaidi<b><i>.
Uovu, uzuri, furaha, huzuni, woga, mafanikio, hamasa n.k</i></b> vyote
huanza na wewe hivyo basi kwa kuwa umeelewa haya basi chukua hatua mathubuti
sasa na ujinasue katika mtego wa kutaka kuwasingizia watu wengine na hatimaye
ukajikuta unadidimia zaidi na zaidi na mafanikio hatimaye yakakupika kushoto.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Ni mimi rafiki yako,<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Baraka Maganga.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt; line-height: 115%;">Wasiliana nami kwa nambari za simu <b>0754612413/0654612410</b> au kwa barua pepe:- <b>Bmaganga22@gmail.com.</b><o:p></o:p></span></div>
mtaani secondary schoolhttp://www.blogger.com/profile/17097496547202476536noreply@blogger.com2