Habari za wakati huu ndugu msomaji wa Makala za mtandao
huu, ni matumaini yangu kuwa hu mzima na unaendelea vizuri katika kuhakikisha
kuwa unapambana na hatimae kujiletea matokeo bora ambayo ndiyo umekuwa ukiyapigania
kila siku, kila wakati na kila dakika. Nami nikusihi pambana bila kuchoka hata
siku maana maisha ni mapambano na wale wanaovumilia ndio hupata mema.